• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MAWAKALA WA VYAMA VYA SIASA 11,311 KUTOKA VYAMA VYA SIASA JIMBO LA ARUSHA WAAPISHWA KUSIMAMIA UCHAGUZI 2020

Posted on: October 21st, 2020

Msinanzi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha mjini Dkt. John Pima amewaapisha Mawakala 11,311 kutoka vyama mbalimbali vya siasa  ambapo mawakala 522 wametakiwa kurekebisha mapufungu yaliyobainika katika barau zao za kuomba uwakala .

Akitoa taarifa kwa vyombo vya  habari  Dkt.  Pima  alisema kuwa  walipokea barua zipatazo 11,833 kutoka vyama 15 vya kisiasa  ambavyo ni CUF ,CHADEMA ,CCK ,CCM ,ACT ,UDP, DEMOKRASIA MAKINI ,ADA TADEA ,CHAMA CHA SAUTI YA UMMA,UMDP ,NRA ,AAF ,ADC, UPDP  na NCCR -Mageuzi .

Dkt Pima alisema kuwa baadhi ya barua alizopokea  alibaini mapungufu  mbalimbali  ikiwa ni pamoja  na kushindwa kuonyesha majina ya kata  na vituo ambavyo mawakala hao watasimamia uchaguzi

Mengine ni  Mawakala hao kutokuwa na utambulisho wa katibu kutoka katika chama husika ,kutumika kwa  mihuri tofauti katika barua zilitoka  chama kimoja ikiwa ni pamoja na mawakala husika kutambulishwa na katibu wa Jimbo badala ya katibu wa Wilaya .

“Kulikuwa na mapungufu na changamoto nyingine ndogondogo ambapo tumeita vyama vyote na kuwaeleza mapungufu hayo  na vyama vingi vilifanikiwa kufanya marekebisho  na wengine tuliwapa muda wa kurekebisha ili kukidhi vigezo “alisema  Dkt.Pima

Alisema kuwa  Jimbo la Arusha mjini limefanikiwa kuteua na kuapisha  mawakala kutoka vyama vyote 15 vinavyotarajiwa kushiriki uchaguzi mkuu oktoba 28.

Dkt .Pima alitoa wito kwa Mawakala wote kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na tume ya taifa ya uchaguzi kama sheria ,kanuni ,miiko ,maadili na taratibu nzima za  uchaguzi .

 Pamoja na mambo mengine amewataka wananchi wa Jimbo la Arusha kuwa mstari wa mbele kulinda amani na utulivu ili kuwezesha kila mtu kupiga kura bila bughuza

Matangazo

  • ZOEZI LA UTAMBUZI WA MAJENGO February 23, 2021
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI March 08, 2021
  • Tangazo la Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Arusha July 17, 2018
  • Wanafuzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2019 chaguo la pili Halmashauri ya Jiji la Arusha January 04, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • MKURUGENZI AKABIDHI MSAADA WA MIPIRA KWA TIMU YA AFC

    March 04, 2021
  • MADIWANI ,WATENDAJI WA KATA WATAKIWA KUWA MABALOZI WA KUELEZEA MIRADI YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA WANANCHI NA KUWAHIMIZA KUITUNZA.

    March 01, 2021
  • NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO AFURAHISHWA NA UMOJA WA VIONGOZI WA ARUSHA, ASIFU BONANZA LA MICHEZO, ADAI ARUSHA NI MFANO WA KUIGWA.

    February 27, 2021
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII, HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA MAKUNDI MAALUM

    February 22, 2021
  • Tazama zote

Video

ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa