• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

Halmashauri ya Jiji ina ukubwa wa  Hekta 20,800 na eneo linalofaa kwa Kilimo ni Hekta 13,520 hata hivyo eneo lililolimwani Hekta 12,265 na wakulima wapatao 112,943. Mahitaji ya chakula kwa Jiji ni Tani 124,932.6 kwa mwaka  na  uwezo wetu ni wa kuzalisha nafaka ni  Tani 21.352 na  mazao ya  mikunde ni Tani 3,875 wakati  matunda na mboga mboga ni Tani 3,468.

Kutokana na  hadhi ya Jiji tuliyonayo na pia eneo kubwa kuwa Mji tumejikita zaidi katika kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani (mboga mboga na matunda).

Shughuli hizi za Ugani zimeboreshwa zaidi kwa   kuanzisha mashamba darasa 18. (16 Ufagaji Kuku na 2 kilimo cha mboga mboga). Pia Idara ya Kilimo inaendelea  kuhamasisha usindikaji wa mboga na  matunda ili kuongeza thamani ya mazao na vikundi 4 vinaendelea kuimarishwa ili viweze kuzalisha bidhaa zenye  ubora na viwango vinavyohitaji katika soko.

 

PEMBEMBEJEO ZA KILIMO

Zinapatikana kwa wingi kwenye Maduka ya Pembejeo yaliyopo katika Jiji la Arusha. Kuna jumla ya Maduka 112 yanayouza Pembejeo mbalimbali za Kilimo kama Mbolea, Mbegu na Madawa.

Maeneo ambayo Pembejeo zinaweza kupatikana kirahisi na kwa bei nafuu ni pamoja na Kata ya Kati, Sokon I, Levolosi, Kimandolu, Baraa, Moshono na Murriet

ZANA ZA KILIMO

Zana za Kilimo zinazopatikana katika Jiji letu hutumiwa na Wakulima wote wa Jiji hili wapatao 112,943.

 

Zana hizo ni kama;

  • Matrekta – 40
  • Power Tiller – 3
  • Matrela – 19
  • Wanyama kazi – 870
  • Plau za kukokotwa na wanyama - 750

 

MATUMIZI BORA YA MBOLEA

Kila mkulima anapaswa kutumia mbolea ili kuongeza uzalishaji wa mazao. Mbolea inayopaswa kutumiwa ni ile iliyobeba virutubisho tarajiwa. Kila mkulima anapaswa kununua mbolea bora  katika maeneo yaliyoainishwa, kutunza  na kutumia kwa kufuata maelekezo.

 

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUNUNUA MBOLEA

  • Nunua toka kwenye kampuni iliyosajiliwa na yenye sifa za kuuza mbolea yenye ubora
  • Hakikisha mfuko wa nje ni Manila na ndani ni Nailoni ili kuzuia unyevu
  • Nunua mbolea ambayo mfuko wake una taarifa zifuatazo:
  • Jina la Kampuni iliyotengeneza Mbolea
  • Namba ya Toleo
  • Aina ya Mbolea
  • Aina na kiasi cha virutubisho vilivyo kwenye Mbolea mfano Nitrojeni 46%
  • Tarehe ya kutengenezwa
  • Tarehe ya Mbolea kuisha muda wake
  • Uzito wa mbolea iliyo kwenye mfuko
  • Tunza kumbukumbu za manunuzi na mauzio

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa