• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Engutoto

TAARIFA ZA KATA YA ENGUTOTO

 

HISTORIA YA KATA

Kata ya Engutoto ilianzishwa mwaka 2000 ambapo ilitokana na kugawanywa kwa kata ya Lemara

MIPAKA YA KATA

Kata ya Engutoto Kaskazini imepakana na  kata ya Themi  kusini imepakana na  Wilaya ya Arusha DC  Mashariki   imepakana na  kata ya Moshono na magharibi imepakana na  kata ya Lemara/ Terrat

Kata ya Engutoto ina jumla ya  wakazi 9,994,  ambapo wanawake ni  5,008 na wanaume ni 4,986, pia kuna  mitaa sita  ambayo  ni Block C1, Block C2, Block D, Block H, Block F, Block J

SHULE ZA MSINGI

  • Shule ya msingi na awali Njiro Hill

SHULE ZA SECONDARY

  • Shule ya Secondary  Njiro
  • Shule ya Secondary Korona

TAASISI ZA SERIKALI ZILIZOPO KATIKA KATA

  • VETA – VOCATIONAL EDUCATION TRAING AUTHORITY
  • TAEC– TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION
  • UHASIBU  (IAA)- INSTITUTE OF ACAUNTANCY ARUSHA
  • ESAMI- EASTERN AND SOUTHERN AFRICA MANAGEMENT INSTITUTE

MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

  • Ukamilishaji wa  jengo la vyoo hostel yaWasichana  korona Secondari
  • Ujenzi wa Madarasa mawili (2) ya shule  ya  Njiro sekondari ifikapo juni  2017
  • Ujenzi matundu  manne  4 ya vyoo shule  ya Msingi Njiro ifikapo 2017 
  • Ujenzi wa miondominu  ya maji shule za msingi ya  Njiro ifikapo juni 2017
  • Ujenzi wa  nyumba ya Mtumishi  (2 in 1) na  Korona 2017
  • Matengenezo ya barabara kwenye barabara za seminary – Engutoto (2.0 km na Arusha  ujenzi wa Daraja  ( Box culvet ), katika mto Kijenge kuunganisha maeneo ya na Engutoto na olkereyan
  • Ujenzi  wa  Hostel ya  wasichana   pamoja  na choo Korona Secondary

VIWANDA VILIVYOPO KATIKA KATA

  •   DHARAM SIGH HANSPAUL & SONS LTD  ( HANSPAUL)
  •   MAUNT MERU DRINKING WATER

MIPANGO YA KATA  

  • Kuhakikisha kunakuwa na utawala bora
  • kupokea  migogoro yote  na kuishughulikia
  • kutoa huduma bora kwa jamii
  • Kusimamia ulinzi na Usalama wa kata
  • (i) Kuitisha vikao vya ulinzi na usalama
  • (ii) Kuhakikisha kunakuwa na ulinzi shirikishi
  •  (iii)Kuhakikisha kata inakuwa eneo salama la kuishi
  • Kusimamia usafi na utunzaji  wa mazingira
  • (i)Kuhakikisha taka zinazolewa Kwa wakati katika mitaa
  • (ii)Kumsimamia Mkandarasi wa uzoaji wa taka.
  • Uitishwaji wa vikao vya kisheria vya WDC
  • Kukusanya mapato  yote ya Serikali
  • Kufungua  barabara zote zilizofungwa katika mitaa
  • Kuhakikisha wanawake na vijana wananufaika na mkopo wa Halmashauri ya jiji.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa