• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ACHENI KUBADILI VIPINDI VYA MICHEZO KWA KUFUNDISHA MASOMO MENGINE-DAS KHAMANA

Posted on: March 23rd, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Arusha Khamana Simba amewataka walimu kuhakikisha vipindi vya michezo vinatumika  kufundisha michezo na sivinginevyo.

Ameyasema hayo alipokuwa akizindua  mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA katika Wilaya ya Arusha na maadhimisho ya miaka 50 ya ushiriki katika mashindano hayo.

Amesema kuna baadhi ya Walimu wanageuza vipindi vya michezo kufundishia masomo mengine.

"Inashangaza kuona baadhi ya walimu wanafuta vipindi vya michezo nakufundisha masomo mengine".

Hivyo, amewataka walimu wote kusimamia kwa umakini vipindi vya michezo kwa wanafunzi.

Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuibua vipaji vya michezo mbalimbali kwa wanafunzi nakuweza kuwaendeleza.

Amesisitiza kuwa ili timu zote ziweze kushinda katika michezo hiyo nilazima wajipange vizuri na kushirikiana.

Pia, amewataka wanafunzi wawe na nidhani, utii, kusoma kwa bidii, wajitunze, wapende michezo na kujiepusha na vitendo viovu.

Kamala amesema michezo ni afya na inasaidia kuwaepusha wanafunzi kufanya vitendo viovu.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Afisa Elimu Msingi Hussein Bakari amesema Halmashauri ya Jiji itaendelea kutoa ushirikiano kwa wanafunzi na walimu ili kuhakikisha timu zinashiriki kikamilifu kwenye mashindano hayo.

Kwa upande wake, Afisa Utamaduni, Sanaa na Michezo Jiji la Arusha Lucy Jiranga amesema,timu za michezo za Halmashauri ya Jiji la Arusha zimekuwa zikishiri mashindano hayo tokea mwaka 1974 na mwaka huu 2024  zinatimiza miaka 50.

Amesema Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa mwaka 2023 ilifanikiwa kununua Mipira ya Miguu na jezi kwa timu zilizoshiriki mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA 2023.

Katika mashindano hayo timu 7 za Halmashauri ya Jiji ziliweza kushika nafasi mbalimbali  kwa mpira wa Mikono wasichana walikuwa washindi 2,mpira wa Pete washindi 2, Mpira wa Kikapu wavulana washindi 3,Mpira wa Kikapu wasichana washindi 3, na fani za ndani washindi wa 1.

Uzinduzi wa mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Wilaya yamezinduliwa rasmi ikiwa imejumuisha timu 6 kutoka shule za Sekondari na timu 5 Shule za Msingi katika michezo mbalimbali.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa