• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

ARUSHA JIJI KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

Posted on: October 14th, 2023

ARUSHA JIJI WANUFAIKA NA MRADI MPYA, BARABARA, STENDI NA SOKO KUJENGWA


KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imetoa rai kwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuhakikisha inasimamia kwa weledi fedha zilizoletwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa TACTIC ili uweze kukamilika kwa wakati na kuleta tija kwa wananchi.


Hayo yamesemwa jijini Arusha na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe Denis Londo wakati wa ziara ya kamati hiyo kukagua miradi iliyotekelezwa kupitia TSCP ambayo  ni ujenzi wa Dampo (Muriet) pamoja na uwanja wa michezo Ngarenaro na kazi zitakazofanywa kupitia Mradi wa TACTIC ambayo ni Barabara ya Oljoro-Muriet na Barabara ya Bypass Kisongo-Airport, Ujenzi wa Stende eneo la Bondeni Seed na ukarabati wa Soko la Kilombero ambayo inasimamiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI.


Mhe Londo amesema Jiji la Arusha ni miongoni mwa maeneo yaliyobahatika kupokea fedha za mradi huo na hivyo kusisitiza kuwa ni vema fedha hizo zikatumika kwa weledi ili kutimiza azma ya serikali ya kuwahudumia wananchi wake.


" Arusha imebahatika kupata mradi huu ni matumaini yetu kuwa fedha hizi ambazo Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan amezitafuta na kuzileta basi zisimamiwe kwa weledi ili ziweze kukamilisha miradi hii kwa wakati na kuleta tija kwa Taifa letu," Amesema Mhe Londo.


Kwa upande wake Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Deogratius Ndejembi ameiahidi kamati hiyo kuwa watahakikisha miradi hiyo inasimamiwa kwa weledi na kukamilika katika muda uliopangwa lengo likiwa kutimiza azma ya serikali ya awamu ya sita ya kuwahudumia wananchi wake.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa