• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Arusha waadhamisha Siku ya Mashujaa

Posted on: July 25th, 2022

Na Mwandishi Wetu, Arusha. 

Mavetenari waliopigana  Vita vya Kagera leo wameadhimisha siku ya kumbukumbu ya mashujaa kwa kuweka silaha za jadi kwenye bustani ya Mnara wa Mashujaa Jijini Arusha.

Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na Waziri wa Maliasili na Utalii,Balozi Pindi Chana sambamba Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella, Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranqhe,viongozi wa dini pamoja na wananchi.

Akizungumza mara baada ya uwekaji wa silaha za jadi ikiwemo ngao,mkuki,shoka na sime,Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mongella alitoa rai kwa vijana kuwa wazalendo ndani ya nchi kwakuhakikisha wanalinda amani na kudumisha mashikamano. 

Naye Luteni Mstaafu,Allais Robert ambaye aliwahi acha nafasi yake ya uhasibu na kwenda kupigana vita vya Kagera mwaka 1978 hadi 1979,alisema wakati alipokuwa akienda vitani alikuwa na hamasa kubwa ya uzalendo wa nchi.

Alisema alipokuwa akienda kupigana vitani alikuwa na umri wa miaka 24 na alikuwa tayari kuendana na hali halisi ya mazingira waliyokutana nayo vitani.

"Wakati wa vita tulipata msaada kutokana kwenye vikosi mbalimbali vya majeshi yetu kutoka vyuo mbalimbali na tulijitoa kwa hali na mali kupigania nchi yetu na kumng'oa Nduli Idd Amin "

Alitoa rai kwa vijana kutokimbilia tamaa za fedha na maisha mazuri badala yake wafanye kazi kwa bidii na kutanguliza uzalendo mbele

Huku mmoja kati ya viongozi dini,Dk,Askofu ,Solomoni Masangwa wa Kanisa la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Kati (KKKT) alisisitiza amani na upendo ikiwemo kuwaombea viongozi wa serikali.


Picha na Matukio mbalimbali Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa 



Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA August 11, 2022
  • TANGAZO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KUHUSU KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA MAOMBI YA MIKOPO YA HALMASHAURI July 14, 2022
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • Naibu Meya Jiji la Arusha atetea nafasi yake

    July 28, 2022
  • Naibu Meya Jiji la Arusha atetea nafasi yake

    July 28, 2022
  • RC Mongella awataka wakufunzi wa sensa kutanguliza uzalendo na weledi

    July 26, 2022
  • Arusha waadhamisha Siku ya Mashujaa

    July 25, 2022
  • Tazama zote

Video

ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa