• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mkurugenzi mpya Halmashauri ya Jiji la Arusha apokelewa na baraza la Madiwani

Posted on: August 27th, 2018

Halmashauri ya Jiji la Arusha mapema hapo jana limefanikiwa kuketi kikao cha robo ya nne kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 ambapo Madiwani, Watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha na wananchi waliohudhuria kikao hicho walipata fursa ya kumkaribisha Mkurugenzi mpya wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Suleiman Madeni.

Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha pia kiliambatana na  zoezi la kumchagua Naibu Meya wa Jiji zoezi ambalo hufanyika katika kila robo ya nne ya kikao cha baraza la madiwani ambapo Mhe. Paul Mattysen, Diwani wa kata ya Moshono alifanikiwa kupita katika uchaguzi huo.

Sambamba na hayo Mwenyekiti wa baraza ambaye ni Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha aliendesha zoezi la uchaguzi wa wenyeviti mbalimbali wa kamati za kudumu za Halmashauri ya Jiji la Arusha ikiwemo Fedha na Utawala, Elimu, Maadili na Uchumi kwa mwaka huu mpya wa Fedha wa 2018/2019.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha alipokuwa akitoa neno la shukrani alisema kuwa, ushirikiano baina ya Viongozi, Madiwani na Watumishi ndio msingi wa kusogeza mbele gurudumu  la maendeleo kwa wananchi wa Jiji hili.

“Katika nchi hii hakuna mwenye kibali cha kubaki kwenye madaraka milele hivyo kila mmoja kwenye nafasi yake anapaswa kuwajibika ipasavyo kwaajili ya jamii yake” aliongeza Dr. Madeni

Naye Mstahiki Meya Mhe. Kalist Lazaro alimpongeza Mkurugenzi huyo kwa kuteuliwa na kuahidi kumpatia ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu ya Halmashauri kwa maslahi ya wana Arusha na Taifa kwa ujumla.

Aidha kikao hicho cha baraza la Madiwani kiliweza kupokea taarifa mbalimbali kutoka katika taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali zinazotoa huduma kwa wananchi wa Jiji la Arusha ikiwemo taarifa ya utekelezaji wa wakala wa barabara za vijijini na mijini  (TARURA) kwa mwaka wa fedha 2017/2018 iliyowasilishwa na Ndg. Fodia Mwankenja, Meneja wa TARURA Jiji la Arusha .


  • Pichani: baadhi ya Madiwani na wananchi waliohudhuria katika kikao hicho.
  • Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dr. Maulid Suleiman Madeni alipokuwa akitoa neno la shukrani wakati wa kikao cha robo ya nne kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa