• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MAKISIO YA BAJETI BILIONI 137 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Posted on: March 1st, 2024

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Arusha limepitisha Bajeti ya Bilioni 51kutoka katika mapato ya ndani kwa mwaka 2024/2025.

Maamuzi hayo yamefikiwa na Baraza hilo katika kikao cha Bajeti kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Madiwa wote Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqe  baada ya baraza hilo amesema iyo ni Bajeti kubwa kuliko bajeti nyingine zilizopita.

Katika Bajeti hiyo, vipaombele vitakuwa katika Sekta ya Elimu, Afya na Miundombinu kwani maeneo hayo ndio yanawagusa wananchi moja kwa moja.

Amesema, Bilioni 1.4 itakwenda katika maendeleo,Bilioni 2 ni fedha zakununua mitambo yakukarabati barabara zilizopo chini ya Halmashauri hiyo.

Pia, Amesema katika Bajeti hiyo Halmashauri imepanga  kufunga taa za Barabara katika Jiji lote, kuboresha Masoko,kujenga uwanja mdogo wa mpira wa Miguu na kununua Timu ya Mpira wa Miguu ya Jiji la Arusha.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Mhandisi Juma Hamsini amesema, jumla ya Bajeti yote ya Halmashauri ni Bilioni 137 ikiwa imejuisha Mapato ya ndani Bilioni 51 na fedha nyigine kutoka kwa Wahisani na Serikali Kuu.

Amesema Halmashauri imejipanga kuongeza makusanya kutoka vyanzo vyake mbalimbali kama vile; kodi za upangishaji wa maduka na Masoko.

Maboresha hayo yatapelekea ongezeko la Mapato ya ndani kutoka Bilioni 48 kwa mwaka wa fedha 2023/2024 hadi Bilioni 51kwa mwaka 2024/2025.

Mkurugenzi amesisitiza zaidi kufanya maboresho kwenye Maeneo mbalimbali ikiwemo Stendi ndogo kwa kujenga jengo la kisasa litakaloweza kupangisha wafanyabiashara takribani 2000 toka 400 waliopo sasa.

Ongezeko hilo litaongeza mapato ya Halmashauri  kutoka Bilioni 1.2 kwa sasa hadi Bilioni 6.

Aidha, ameishukuru Kamati ya ulinzi na Usalama ya Wilaya na Mkoa kwa kusimamia makusanyo ya mapato ndani ya wiki moja kiasi cha Milioni 350 zimekusanywa.

Baraza la Madiwani lililopitisha Bajeti hiyo lilishirikisha Waheshimiwa Madiwani, Katibu Tawala wa Wilaya na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa