• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

BENKI YA NMB YAKABIDHI MABEGI 100 YA SHULE JIJI LA ARUSHA

Posted on: February 17th, 2022

Na Mwandishi Wetu,

Arusha.

Benki ya NMB imetoa msaada wa mabegi 100 kwa wanafunzi wanatoka kwenye familia duni na kuyakabidhi kwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ikiwa ni muendelezo wa zoezi lililofanywa na ofisi ya Jiji wa kutoa sare pamoja na vitaa vya shule kwa wanafunzi 416 walioshindwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu kutokana na kukosa mahitaji hayo.

Akipokea vifaa hivyo leo ofisini kwake, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt John Pima amesema wanashukuru kuona wadau wa maendeleo wanaona umuhimu wa elimu na kuendelea kutoa sapoti kwa wanafunzi wanaoshindwa kujiunga na shule au kushindwa kuendelea na masomo kutokana hali ngumu ya maisha.

“Msaada huu utaenda kufanya mabadiliko makubwa kwa watoto wetu, lakini licha ya kunikabidhi hii leo, tayari tumeshakaa na Mkuu wetu wetu wa Wilaya na tukaamua kuandaa siku maalum ambayo watoto wenye uhitaji pamoja na waheshimiwa madiwani watakuwepo ambayo ni tarehe 24/02/2022”  amesema Mkurugenzi.

Amesema kwenye zoezi la awali la kukabidhi vifaa hivyo lililofanyika katikati mwa mwezi Januari, wanafunzi 416 walipatiwa sare sa shule, madaftari, kalamu, mabegi ya shule pamoja na taulo za kike ambapo hadi kufikia leo hii tayari sare za wanafunzi 413 zimeshakamilika kwa maana ya kushonwa.

Naye Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini Dismas Prosper amesema msaada huo umetokana na michango ya wafanyakazi wa benki hiyo ambapo jumla ya shilingi milioni mbili, laki mbili na elfu ishirini zimepatikana na kwamba zoezi la kuchangisha kwa wafanyakazi wengine linaendela.

“Msaada huu tumeutoa kama wazazi, na ndiyo maana tukaamua kuchangishana kama ambavyo tunavyotoa msaada kwa wahitaji mara tatu au nne kila mwaka, hivyo kwa wanafunzi wetu hawa tutaendelea kuwasaidia kadri tutakavyoajaaliwa” Alisema Prosper.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa