• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

CWCD kushirikiana na timu ya wataalam Halmashauri ya Jiji Arusha kuzuia Vitendo vya kikatili kwa Watoto na Vijana wa Awali

Posted on: June 24th, 2021

Shirika la CWCD (Centre for Women, Children and Youth Development) kwa ufadhili wa CRVPF kushirikiana na asasi zingine zisizo za kiserikali ambazo ni FAE, TCYLO, AVUREFA, wamefanya kikao cha utambulisho wa kupanga na kujifunza vitendo vya ukatili kwa watoto na vijana rika kwa timu ya Wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa lengo la kubaini, kukabiliana na kuzuia vitendo hivyo. 

Akizungumza wakati wa kikao hicho Mkurugenzi wa mradi huo Bi. Hindu Ally Mbwego amesema kutokana na hali ilivyo kwa sasa Shirika hilo limekuwa likifanya juhudi za kuzuia ukatili dhidi ya watoto badala ya kuchukua hatua baada ya ukatili kutokea na kuongeza kuwa kwa kushirikiana na mashirika mengine pamoja na wataalam wa Halmashauri kutachagiza kufikisha ujumbe na kuifikia kundi kubwa la watu katika Jamii kwa haraka na ufanisi zaidi. 

Naye Mratibu wa Miradi kutoka Shirika la Today's Children and Youth Life Organization Bw. Andrew Buhuba amesema lengo la mpango huo ni kuondoa kabisa mizizi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na vijana wa awali, huku jitihada zaidi ikiwa kuyazuia matukio hayo kwa kuanzia kwenye vyanzo visababishi kabla ukatili haujawafikia. 

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dk. Kheri Kagya kwa upande wake ameishukuru CWCD na wadau kwa kuja na mpango huo na kuwasisitiza kutilia mkazo kwani vitendo hivyo vipo na kwamba wao kama wataalam wapo tayari kushirikiana nao kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa kikamilifu. 

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Onesmo Mandike amesema kama Jiji wanasifu hatua za mpango huo na kuupokea kwa kuwa una tija kwa nyakati hizi na kutoa rai kwa wadau hao kuchukulia suala hilo kwa uzito unaotakiwa  na kujua kuwa hayo ni kwa manufaa ya taifa letu kwa ujumla. 

Aidha Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maxmillian Iranqhe wakati akifungua kikao hicho amewahakikishia wadau hao kuwa Jiji  linaunga mkono jitihada wanazofanya na kuwataka mpango huo uwe endelevu katika Kata zote za Halmashauri ili kuokoa na kustawisha kizazi kijacho kwani watoto na vijana wa awali ni Taifa la Kesho. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa