• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dc Daqarro achukizwa na kasi hafifu ya ukamilishaji wa barabara za TARURA jijini Arusha

Posted on: July 11th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro amemwagiza mhandisi Christopher Ngowi kutoka kampuni ya Ravji Construction Ltd kuwa ifikapo tarehe 14/08/2019 ujenzi wa barabara za Serengeti, Leyora na Machame  zenye thamani ya shilingi 768,883,500 zinazosimamiwa na wakala wa barabara za mijini na vijijini  (TARURA)  jijini Arusha  ziwe zimekamilika ili zianze kutumika.

Pichani: Barabara ya Meidimu - Nadosoito baada ya kukamilika kwa matengenezo ya sehemu korofi

**********************************************************


Ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake aliyoifanya mapema leo hii kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hizo ulioanza tarehe 14/01/2019.

Dc Daqarro amesema kuwa  kasi ya ukamilishaji wa ujenzi wa barabara hizo hairidishi kwani mpaka sasa mkandarasi hajafikisha   asilimia hamsini  ya ujenzi wa barabara hizo licha ya kuwa amebakiza wiki nne tu kati ya  muda wa miezi nane aliyopewa  kukamilisha barabara hizo.

Pichani: Maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Sanawari inayotarajiwa kukamilika kwa kiwango cha lami

*******************************************

“Ifikapo tarehe 14/08/2019 tunataka tuone lami inateleza ili wananchi wetu waweze kufurahia ahadi wanazopewa na serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kushindwa kufanya hivyo tutakuwajibisha” alisema Dc Daqarro

Katika ziara hiyo pia Dc Daqarro alipata fursa ya kutembelea na kukagua ujenzi wa barabara ya Sanawari, daraja (box culvet) katika mto  kwenye barabara ya Oljoro- Murriet, matengenezo ya sehemu korofi na ujenzi wa kalvati kwenye  barabara za Meidimu, Murriet – Nadosoito na Lolovono pamoja na barabara ya Sojema-Amani.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa