• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

DC Mtahengerwa: Wazazi acheni tabia ya kuwaachia watoto kuangalia maudhui yasiyofaa.

Posted on: March 8th, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Arusha

Wazazi na walezi wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kuwaachia watoto wao kuangalia maudhui na katuni  zisizo na maadili badala yake waongee nao ili kubaini changamoto wanazokumbana nazo mashuleni, majumbani na mitaani ili kudhibiti matukio ya ukatili yanayoibuka kwa kasi hivi sasa.

Wanawake wakifuatilia kwa umakini sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Tarehe 08, Machi 2023. 

Akizungumza na wanawake wa Jiji la Arusha katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yenye kauli mbiu ya Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia,Chachu katika kuleta usawa wa Kijinsia" ambapo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa alisisitiza endapo mzazi utabaini katika chaneli zinazoonyeshwa zinaviashiria vya ushoga au udhalilishaji wachukue hatua ili kudhibiti matukio ya ukatili.

Alisisitiza wazazi na walezi kutokaa kwenye mitandao ya kijamii na kuwa bize nakazi huku wakiacha watoto wakifanyiwa ukatili watu mbalimbali ikiwemo wadada wa kazi.

"Angalieni katuni mnazowaruhusu waangalie nyingine hazina maadili pia wazazi mnaopeana sukari na kondoo ili kumaliza kesi za ulawiti na ukatili kwa wanawake na watoto nje ya mahakama mikibainika mnafanya misamaha ya ovyo ovyo mtakamatwa"

Wanawake wakifuatilia kwa umakini sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Tarehe 08, Machi 2023. 

Vitendo vya ukatikili wa jinsia bado zinaendelea haswa kwa wanawake na watoto ikiwemo watoto wa kiume ambao bado wanasahaulika ingawa nao wanafanyiwa ukatili wa aina mbalimbali.

Takwimu zinaonesha kwa mwaka 2022 vitendo vya ukatili wa kijinsia vilivyoripotiwa 8,647, ukatili wa kisaikolojia 12,515 huku ukatili wa kingono 5,781.

Naye Ofisa Maendeleo ya  Jamii Mkoa wa Arusha Bi. Blandina Nkini aliishukuru Serikali kwa kutoa mikopo ya Shilingi Bilioni 1,390,193,600 kwa mwaka wa fedha 2022/23 ambapo vikundi vya Wanawake 121,vijana 42 na watu wenye ulemavu 20 wamenufaika. 

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Hargeney Chitukuro akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa alipowasili katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani. 

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Hargeney Chitukuro aliishukuru Serikali kwa kuendelea kutoa kipaumbele kwa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na kuihakikishia Serikali kuwa wao kama Halmashauri ya Jiji la wataendelea kusimamia na kuhakikisha makundi lengwa yananufaika na kupatiwa mikopo hiyo kwa wakati ili kuwaletea maendeleo.


MATUKIO KATIKA PICHA : Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yalivyopambwa na Wanawake wenye shughuli yao


ARUSHA JIJI, KAZI INAENDELEA! 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa