• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Dr. Madeni awaibukia wafanyabiashara wanaokimbia vibanda vyao masokoni na kuendesha biashara nje ya Masoko Jijini Arusha

Posted on: November 10th, 2018

Katika muendelezo wa operesheni ya ukusanyaji wa mapato Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha  Dr. Maulid Suleiman Madeni amefanya ziara ya kushtukiza katika Soko Kuu lililopo Jijini Arusha   ambapo amewatembelea wafanyabiashara walioacha vibanda vyao ndani ya soko na kukimbilia nje kwa kisingizio cha kujifananisha na wamachinga.

Katika ziara yake hiyo aliyoifanya leo Tarehe 10/11/2018 Dr. Madeni amewakumbusha wafanyabiashara  hao  wajibu wao wa kulipa kodi ya serikali na ushuru wa vibanda  kwani kwa kukimbia vibanda walivyotengewa kunaikosesha serikali mapato na kusababisha uharibifu mkubwa wa mazingira.


(Pichani: baadhi ya biashara zinazoendeshwa kiholela nje ya Soko Kuu lililopo Jijini  Arusha)


Pia  amewataka wafanyabiashara hao  ndani ya siku mbili wawe wamesharudi katika nafasi zao rasmi  za awali kwani ndani ya soko idadi ya vibanda vilivyo wazi ni kubwa  na kwa watakaokosa nafasi  waonane na Afisa Bashara wa Jiji Bw. Godfrey Edward  ili waweze kupangiwa maeneo mengine  yaliyotengwa  kwa ajili ya wafanyabiashara.

“Kwa kupanga bishara zenu kiholela mnasababisha kuzuia njia za waenda kwa miguu na sehemu za wateja kupaki vyombo vyao vya usafiri  kitendo kinachosababisha usumbufu na ukosekanaji wa mapato hivyo niwaombe mrudi katika nafasi zenu za awali ili kuuweka mji wetu katika hali ya usafi” Alisema Dkt. Madeni

“Tunaelekea katika msimu wa mvua nyingi, tusipouweka mji wetu katika hali ya usafi na kuacha kuzuia biashara zinazipangwa kiholela basi tutayakaribisha majanga makubwa ya mlipuko wa magonjwa na uharibifu wa miundombinu kwani uchafu unaweza kuwa chanzo kikuu cha mifereji kuziba ” aliongeza  Mkurugenzi huyo

Zoezi la kuwarudisha wafanyabiasha waliokimbia maeneo yao na kuvamia katikati ya Mji kiholela ni endelevu na Mkurugenzi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha  Dr. Maulid Suleiman Madeni  ataambatana na timu yake  ya watumishi wa idara mbalimbali kuhakikisha wafanyabisahara wote wanapatiwa maeneo rasmi na kuuacha mji wa Arusha katika hali ya usafi kwani Jiji la Arusha ndio kitovu kikuu cha utalii.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa