• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

HALI YA UCHUMI INAVYOSABABISHA UKATILI KWA MTOTO

Posted on: May 24th, 2024

Hali  halisi ya  uchumi katika familia nyingi kumesababisha jamii kuwa na mabadiliko ya malezi  kwa watoto.

Kutokana na mabadiliko ya malezi kwa watoto, kumepelekea ongezeko la matukio ya unyanyasaji wa watoto katika jamii zetu.

Kwani Wazazi wengi wamekuwa na muda mwingi wakutafuta mahitaji ya familia kuliko muda wakukaa na kuwalea Watoto na hiyo kupelekea watoto hao kukosa malezi yenye maadili katika makuzi yao.

Shirika la SOS children's Villange Arusha likishirikiana na Halmashauri ya Jiji la Arusha wamefanya kikao maalumu,kilichowashirikisha Madiwani wa Jiji la Arusha na Viongozi wa dini.

Lengo kubwa, la Kikao hicho ilikuwa kujadili na kupanga mikakati ya pamoja itakayoweza kumkomboa mtoto kutoka katika mazingira hayo ya unyanyasaji kwa kuweka ulinzi wa mtoto.

Bi. Husna Solomi ni Mratibu wa malezi mbadala na ulinzi na usalama wa mtoto kutoka shirika la SOS Children's Village Arusha, amesema, ulinzi wa mtoto umepungua kwa kiasi kikubwa kutoka na mambo mbalimbali ikiwemo utandawazi na mwingiliano wa jamii tofautitofauti.

Pia, kubadilika kwa utamaduni za jamii zetu na elimu, kumepelekea ulinzi wa mtoto kupungua na kuibua vitendo vya unyanyasaji.

Amesema, kutokana na kikao hicho mipango mbalimbali imewekwa ya namna Serikali, Viongozi wa dini na Shirika hilo kwa pamoja watakavyoweza kuwafika watoto katika jamii zao kwa kuwapa elimu.

Bi.Husna amesema, kuwepo kwa nguvu ya makundi hayo matatu kila kundi limeweka mipango ya namna yakuifikia jamii kwa kutoka elimu na kuwasaidia watoto ambao tayari watakuwa wameathirika ili waweze kurudi katika hali ya kawaida.

Mkakati mwingine ambao kikao hicho umeweka ni namna yakuzifikia zile familia zenye watoto walemavu na walezi wao kwa kawapatiwa elimu na kuwakomboka na hali duni ya uchumi, kukandamiza hali na maslahi ya watoto.

Akizungumza kwa niaba ya Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Naibu Meya  Abraham Mollel amesema, Baraza la Madiwani litahakikisha idara ya Maendeleo ya Jamii inatengewa bajeti itakayowawezesha maafisa maendeleo ya jamii kutoa elimu katika ngazi za chini.

Amesema, jukumu la kuimarisha ulinzi wa mtoto nila kila mtu hivyo wao kama Madiwani wataendelea kutoa elimu katika kata zao na kupinga vikali unyanyasaji wa watoto.

Amesisitiza kuwa jamii ikiweza kumlinda mtoto itakuwa imeilinda nchi na kutengeneza kizazi chenye kujitambua na kuwajibika na hivyo kuleta maendeleo kwa familia na jamii kwa ujumla. 

Kupitia Sheria ya mtoto ya mwaka 2009 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebainisha namna mtoto anatakiwa kulindwa ili asipoteze haki zake za msingi, na hii ni juhudi ya Serikali katika kuhakikisha mtoto anakuwa salama.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa