• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YA KABIDHI HUNDI YA MFANO YA SHILINGI MILIONI 805.686

Posted on: February 26th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel Daqarro akiambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Maulid Madeni leo Tarehe 26 Februari 2020 amefungua Mafunzo ya utoaji mikopo yatakayo tolewa kwa muda wa siku mbili kuanzia Tarehe 26-27 Februari 2020 pamoja na kukabidhi hundi ya mfano ya shilingi 805,686,000 kwaajili ya mikopo itakayotolewa kwa Vikundi 147 vya Wajasiriamali, Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu kwa awamu ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020.

Akiwa mgeni wa heshima katika mafunzo hayo Mhe. Gabriel Daqarro aliviasa vikundi hivyo kuwa mabalozi wazuri watakao hamasisha muitikio mkubwa wa wananchi kujitokeza kuunda vikundi na kujiandikisha ili kupatiwa mikopo, pia alishukuru ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa uandaaji na utoaji wa mikopo hiyo kwani wametimiza maelekezo yaliyoagizwa na Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Mhe. Daqarro pia aliendelea kusisitiza vijana kujitokeza kwa wingi pale wanaposikia fursa za utoaji mikopo nakuwasihi watumie mikopo hiyo kwa malengo sahihi ili kujiepusha kushinda vijiweni kwani huo ndio mwanzo wa utumiaji wa mihadarati kama madawa ya kulevya. Pia alishauri wana vikundi wote watakao pokea mikopo hiyo wakaanzishe viwanda vidogo vidogo vitakavyo changia ukuaji wa pato la Taifa .

Sambamba na hayo Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Madeni naye akizungumza katika mafunzo hayo alimwambia Mgeni Rasmi kuwa Halmashauri itaendelea kutoa mikopo hiyo ikiwa ni kuendelea kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi, pia alieleza changamoto kubwa zinazojitokeza ni utengengenezaji wa vikundi hewa wakati wa utoaji mikopo, ucheleweshwaji wa marejesho na maranyingine marejesho ya fedha hizo za mikopo kupokelewa na watu wasio stahili hali inayopelekea fedha hizo kutofikishwa mahali husika. Vilevile alitoa onyo kwa wanaounda vikundi hewa na kuwaamuru waache vitendo hivyo na kuelekeza kuwa marejesho ya fedha za mikopo yapokelewe na wahusika lakini pia stakabadhi za marejesho zihifadhiwe kwa umakini. Dkt. Madeni alimshukuru Mhe. Rais wa Jamuhuri wa Muungano waTanzania Dkt. Joh Pombe Joseph Magufuli kwa kutoa fedha hizo kwa Wananchi zitakazo wawezesha kutatua matatizo yao na kuwakuza kiuchumi na kukuza  pato la Taifa.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa