• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Halmashauri ya Jiji la Arusha yakutana na Viongozi Baraza la Wazee, kuwajengea Uwezo wa namna bora ya Uongozi.

Posted on: July 6th, 2021

Katika kutambua mchango wa wazee, Halmashauri ya Jiji la Arusha leo wamekutana na viongozi wa Baraza la Wazee Jiji la Arusha katika semina maalum yenye lengo la kuwajengea uwezo wa namna ya kuongoza Wazee wenzao katika maeneo yao na kutambua haki zao za msingi, semina iliyofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Arusha. 

Akiongea na Viongozi hao, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Kheri Kagya amesema kuwa semina hiyo itawawezesha wazee hao ufahamu wa namna ya utekelezaji wa majukumu yao ngazi za kata na kwamba semina hiyo itawasaidia kuongoza na kuwatumikia vyema wazee  wenzao katika maeneo yao. 

Dkt. Kagya ameeleza  kuwa semina hiyo ni muhimu kwani itawafanya wazee hao kufahamu namna Taasisi mbalimbali zilizomo ndani ya Jiji la Arusha zinavyofanya kazi kwani kufanya hivyo kutawawezesha viongozi hao wa wazee kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wazee waishio katika Kata zao. 

Akiongea kwa niaba ya wazee hao, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Jiji la Arusha, Ndg. Mhina Sazua ameushukuru uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kuwapa elimu kwani awali hawakuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu majukumu na taratibu za kazi zao na kwamba kwao ni faraja kuona Uongozi wa Halmashauri ya Jiji kukutana na wazee hao kwani kwao ni historia kukutana na kiongozi wa Serikali akisisisitiza kuwa hilo limewezekana kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu  kupita tangu Baraza hilo lilipoanzishwa. 

Naye Bi. Amina Yusufu, Mmoja wa washiriki Baraza la Wazee kutoka kata ya Ungalimited, amemshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. John Pima na timu yake ya wataalam kwa kulipa kipaumbele suala la Wazee na kwamba wazee ni hazina ya Taifa na kuwa wao ni vioo vya vijana wa sasa ambao ndio wazee wa taifa la Kesho. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa