• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Jaa la kisasa la Murriet- Jijini Arusha limeendelea kuwa kivutio cha mafunzo nchini na nje ya nchi

Posted on: July 19th, 2019

Halmashauri ya jiji la arusha imekuwa ikipokea wageni kutoka miji mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali ya kiutendaji.

 Jana tarehe 18/07/2019 Halmashauri ya jiji la Arusha ilipokea  wataalamu 30  kutoka kisumu nchini kenya ambapo lengo kuu la ziara yao ilikuwa ni kujifunza juu mfumo wa usimamizi  na uendeshaji wa Jaa la kisasa lililopo murriet  sambamba na mifumo ya maji na uhifadhi wa mazingira,mfumo wa usimamizi na ukusanyaji wa mapato  pamoja na namna Jiji la Arusha linavyoendesha  na kuongoza shughuli zake.

Sambamba na ziara hiyo wageni walipata fursa ya kutembelea maeneo mbali mbali ya Jiji la Arusha ikiwemo eneo lilipo Jaa hilo na kujionea shughuli zinavyoendeshwa  kwa ufanisi na usimamizi mzuri.

Ugeni huo kutoka kenya uliambatana na mkurugenzi wa Jiji la kisumu pamoja na wakuu wa idara za  jiji hilo pamoja na mwenyekiti na wanachama wa bodi ya jiji la Kisumu.

Wageni hao kutoka Kisumu nchini Kenya pia walifurahia mapokezi na  ukarimu wa  watanzania  pamoja na  mafunzo  maridhawa  kutoka kwa wataalamu wa halmashauri  ya Jiji la Arusha waliobobea katika fani zao akiwemo Kaimu mhasibu wa mapato Jiji la Arusha,Afisa usafishaji na mazingira Jiji la Arusha,Kaimu mwanasheria, Afisa maliasili na utalii pamoja na kaimu mhandisi wa jiji.




"Pichani:  Afisa usafishaji na mazingira Bw. James Lobikoki akitoa mafunzo kwa wageni kutoka Jiji la Kisumu" 

******************************************************




"Pichani: Kaimu mhasibu wa mapato Jiji la Arusha Bi. Felista Kitambi akitoa mafunzo kwa wageni kutoka Kisumu"

***************************************************



"Pichani:  Afisa  maliasili   Bw.Michael Ndaisaba akitoa mafunzo kwa wageni kutoka Kisumu"

**************************************



"Pichani: Moja kati ya miradi inayoendelea ya uboreshaji wa Jaa la Murriet"


“UDUMU URAFIKI WA KENYA NA TANZANIA”

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa