• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Jiji la Arusha kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi

Posted on: September 20th, 2017

Halmashauri ya Jiji la Arusha imesaini Mkataba wa makubaliano na Taasisi ya OIKOS Tanzania kutekeleza mradi wa TERRA wenye malengo ya kuelimisha jamii juu ya athari za mabadiliko ya Tabia ya Nchi na namna ambavyo wanaweza kukabiliana na maadiliko hayo.

Akizunguma wakati wa kusaini Mkataba huo wa makubaliano Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Athumani Kihamia amesema kupitia mradi huu Arusha itakua na uhalisia wa kuitwa “Geneva of Africa” kwa sababu muonekano wa Jiji hili baada ya mradi huu utavutia zaidi, mazingira yatakuwa bora na wananchi haswa wakulima na wafugaji watafanya shughuli zao katika eneo salama.

“Tunashukuru sana kupata mradi huu wa kipekee kwa kuwa tumekuwa tukipata miradi mingi ya maendeleo katika sekta za Miundombinu, Elimu, Afya, Kilimo na Mifugo lakini huu tunaosaini sasa utasaidia sana kwenye suala zima la Mazingira katika dhana ya mabadiliko ya Tabia ya Nchi” alisema Kihamia.

Aliongeza kuwa atahakikisha wanachi wake wanashirikiana begabega na wasimamizi wa mradi huo katika kuhakikisha mradi huo unatekelezeka ili kujiletea maendeleo binafsi na ya Taifa kwa ujumla.

 Mkurugenzi  wa OIKOS Afrika Mashariki Mhe. Ramadhan Kupaza amesema Jiji la Arusha ni eneo ambalo wamefanikiwa sana katika miradi iliyopita hivyo wameona ni vyema wakatekeleza mradi huu hapa ili uweze kuboresha zaidi miradi iliyopita na kuweza kuwa na Tija zaidi kwa jamii.

Aliongea kuwa mradi huu utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na  utawezesha zaidi ya familia 6,000 za kifugaji kuweza kupata suluhisho la kudumu juu ya madhara yatokanayo na mabadiliko ya hali ya hewa  ambapo utaangazia hasa juu ya utunzaji wa ardhi, njia mbadala za vyanzo vya nishati, kilimo kinachozingatia majira ya nchi.

Pia utaongeza Mradi huu utasaidia kuongeza Tija katika bidhaa za kilimo na Mifugo kama vile kujenga viwanda  kutengeneza bidhaa zinazotokana na Ngozi za wanyama  na kuwawezesha wananchi kuhifadhi maeneo ya malisho ya mifungo kwa ajili ya usalama wa Mifugo yao.



Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI June 19, 2025
  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa