• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Jiji la Arusha kusaini mkataba wa mradi wa huduma ya ushauri katika utafiti na usanifu wa mfumo wa utiririshaji wa maji ya mvua (DSDP)

Posted on: May 9th, 2019

Halmashauri ya jiji la Arusha imetia saini mkataba wa mradi wa huduma ya ushauri katika utafiti na usanifu wa mfumo wa utiririshaji wa maji ya mvua kwa ajili ya  maandalizi ya mpango kabambe wa uboreshaji wa mifumo ya mitaro ya maji ya mvua na maji taka katika jiji la Arusha kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2020 hadi 2040.

Mradi huo unaojulikana kwa jina la Drainage and Sanitation System Project (DSDP)  wenye gharama ya fedha za kimarekani (USD) 647,463.00 upo chini ya utekelezaji wa  mradi mama wa  Uboreshaji wa Miji na Majiji Nchini (TSCP) awamu ya pili na umesainiwa Tarehe 06/05/2019 na Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni akishuhudiwa  na  Mstahiki Meya wa Jiji Mhe. Kalisti Lazaro . Mradi huu wa mwaka mmoja unatekelezwa na kampuni ya mhandidi mshauri ya Cheil Engeneeting Co.Ltd kutoka nchini Korea iksishirikiana na AJOMA Limited kutoka Tanzania.

Wakati wa hafla fupi ya kusainiwa kwa mkataba huo, Mratibu  wa miradi ya TSCP jiji la Arusha, Mhandisi Agust Mbuya  amefafanua malengo makuu ya mradi huo kuwa ni kuandaa mpango jumuishi wa mifumo ya maji ya mvua na maji taka  ambao utahusisha  mifumo ya maji ya mvua, ukusanyaji wa maji taka kutoka kwenye ngazi ya kaya, usafirishaji salama kutoka kwenye makazi, uhifadhi pamoja na uchakataji kwa lengo la kubadili maji taka kuwa bidhaa nyingine kwa matumizi anuai yenye tija na salama kwa jamii.

“Tunatarajia kuwa kazi hii ya usanifu itatupatia mpango wa utekelezaji kwa awamu kwa kipindi cha miaka 20 kuanzia mwaka  2020 hadi mwaka 2040 na pia usanifu huo utatupatia mwelekeo wa mfumo bora wa usimamizi katika ujenzi, kuendeleza na kutunza mifumo hiyo ya maji ya mvua na maji taka katika jiji letu” alisema mhandisi huyo.

Pia aliongeza kuwa lengo la pili la kazi hiyo ya usanifu ni kupendekeza mradi wa awali  utakaoweza kufanyika kwa misimu ya miaka mitano mitano kuanzia mwaka 2020. Mradi wa miaka mitano wa awali uainishe maeneo yasiyopungua matano yanayotakiwa kuanza utekelezaji na kuwasilisha nyaraka za awali za michoro ya usanifu, makisio ya gharama pamoja na zile za zabuni zitakazowasilishwa kwa wahisani kwa ajili ya ufadhili.

Naye Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni alisema kuwa ni matarajio yetu kama halmashauri kuwa usanifu huu utatupa suluhisho la kudumu katika kupambana na mafuriko ya mara kwa mara ndani ya jiji la Arusha pamoja na kuweka mfumo thabiti wa ukusanyaji wa maji taka ili kuhakikisha mazingira ya jiji yanabaki kuwa nadhifu na salama kwa wananchi wetu.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa