• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

JIJI LA ARUSHA LAPAA KIMAPATO, KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: November 8th, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maxmillian Matle Iranqhe amesema kuwa Jiji la Arusha imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato ambapo robo ya kwanza ya Mwaka halmashauri hiyo imekusanya zaidi ya asilimia 25 ambapo ni sawa na zaidi ya sh.bilioni saba ambapo fedha hiyo imeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mstahiki Meya ameyasema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Baraza la Madiwani robo ya kwanza ya Mwaka wa fedha 2022 /2023 uliofanyika Novemba 08, 2022 na kusema kuwa fedha hizo zimeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo. 

"Tumeielekeza katika ujenzi wa madarasa zaidi ya 100 ya sekondari na msingi,pia watajenga na kuboresha vituo vya afya ,Ofisi za kata,uboreshaji wa miundombinu ya barabara za kiwango cha lami,"alisema Iranqhe.

Alisema wakazi wa Jiji la Arusha wategemee maendeleo makubwa katika robo hii ya mwaka ikiwa hata ndani ya mwezi Oktoba wameshakusanya takribani sh.bilioni 2.7. 

"Pia katika fedha hizo nguvu kubwa tutaielekeza katika taa za barabarani kwani mji wa Arusha kwenye nyakati za usiku kunakabiliwa na changamoto ya giza pamoja na huduma ya umeme kukatika pia wamebaini taa hizo haziwaki katika kipindi cha usiku,"alisema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Hargeney Chitukuro alitoa wito kwa watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuzingatia kufanya kazi kwa wito na nidhamu ya hali ya juu katika kutoa huduma kwa wananchi.

"Kwa upande wa wauguzi ambao wanatoa lugha chafu kwa wagonjwa namuelekeza Afisa Utumishi wa Halmashauri hii kuwachukulia hatua za kisheria ili iwe fundisho kwa wengine na ikumbukwe kazi ni wito,"alisema Chitukuro.

Nao baadhi ya madiwani walilishauri Jiji hilo kuendelea kutoa elimu kwa watumishi wa umma kuzingatia weledi na sheria za kazi katika utoaji wa huduma kwa wananchi hasa sekta ya afya.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa