• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Jiji la Arusha lapokea msaada wa mabati kutoka shirika la bima la taifa(NIC)

Posted on: July 20th, 2019

Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) latoa msaada wa mabati 300 jana tarehe 19/07/2019 yenye thamani ya kiasi cha fedha shilingi milioni nane na laki moja za kitanzania. Akiongea mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Ndg. Sam Kamanga alisema  shirika la bima ya taifa  limetoa msaada wa mabati hayo kwa Wilaya za mkoa wa Arusha ikiwa ni moja kati ya misingi ya utawala bora ambayo serekali inahimiza . “shirika la bima la taifa lina wataalamu ambao wote ni wazawa na wazalendo kwa hiyo tunaona kwamba kuna umuhimu wa aina yake kufika mahali shirika likatoa huduma kwa jamii na sio kufanya biashara tuu” alizungumza mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC).

Sambamba na hayo vilevile mkurugenzi mtendaji wa shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg. Sam Kamanga  ameahidi ya kuwa mara hii ni mara ya kwanza shirika hilo likitoa masaada kwa mkoa wa Arusha hivyo haitakuwa mara mwisho watajitahidi kwa kadiri wapatavyo kuendelea kutoa huduma kwa wananchi.

Akipokea msaada huo wa mabati  Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe. Gabriel  Daqarro amelishukuru Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC),mkurugenzi mtendaji pamoja na meneja wa mkoa wa shirika la bima la taifa kwa msaada huo akisema serekali chini ya uongozi wa  Mhe. Rais Dkt John Pombe Magufuli inatoa elimu bila malipo hivyo kumekuwa na msongamano na muitikio chanya wa wazazi kuleta watoto shule kuanzia ngazi ya msingi hadi sekondari hivyo tunashukuru Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) kwa kuunga mkono juhudi na jitihada za kuhakikisha kila mototo wa kitanzania anapata elimu iliyo bora.

Mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni  naye amemshukuru  Mkuu wa wilaya ya Arusha Ndg. Gabriel Daqarro kwa juhudi za kuongea na wadau na kuweza kulisaidia Jiji la Arusha kutekeleza ilani ya uchaguzi ya Chama cha mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 inayo sisitiza elimu bure hivyo kumuwakilisha vizuri  Mhe. Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli. “vilevile nashukuru  Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC) kwa mchango wao mahiri kabisa na mchango wao mzuri wakizalendo wakujali maslahi ya wengi” alisema mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni.



Pichani: Mkuu wa wilaya ya Arusha Ndg. Gabriel Daqarro na Mkuregenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni wakipokea msaada wa mabati kutoka Shirika la Bima la Taifa Tanzania(NIC)

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa