• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kamati ya Fedha yafanya maamuzi magumu, yaagiza ukarabati wa soko la kilombero kufanyika haraka

Posted on: May 8th, 2021

Kamati ya Fedha yafanya maamuzi magumu, yaagiza ukarabati wa soko la kilombero kufanyika haraka 

Na Mwandishi wetu. 

KAMATI ya Fedha ya Halmashauri ya Jiji la Arusha imeagiza kufanyika kwa ukarabati wa miundo mbinu katika soko la bidhaa za biashara la kilombero ikiwa ni pamoja na kumwaga na kusambaza Moramu katika maeneo yaliyoharibiwa vibaya na Mvua pamoja na kuzibua mifereji na kuezeka paa za nyumba za biashara ambazo zimeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha.

Kamati hiyo imetoa agizo hilo baada ya kutembelea na kuona uhalisia wa maeneo ya Biashara katika soko la Kilombero na pia baada ya wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo hatarishi kutoa kilio mbele ya kamati hiyo wakieleza adha wanayopata na kuomba Serikali kuchukua hatua kabla hawajapata madhara ya milipuko ya magonjwa ikiwa ni pamoja kuwatafutia eneo la biashara. 

Eneo hatarishi kuliko yote ni eneo walipofanyabiashara wa samaki ambao wanasafisha na kuparua samaki katikati ya madimbwi ya maji ya matope ya mvua bila kujali mlipuko wa mgonjwa. 

Kamati hiyo ikiwa inayoongozwa na Meya wa Jiji la Arusha Maxmilian Iranqhe inaagiza wataalam wa Halmashauri wa Jiji la Arusha wakiongozwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kufanya ukarabati wa miundo mbinu hiyo na kuweka Moramu katika maeneo hatarishi pamoja kuzibua mifereji. 

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima anaelezea zoezi hilo na kudai kuwa wameanza utekelezaji na kuwataka wafanyabiashara kuwa wavumilivu huku wakifuata sheria na taratibu .

Dk.Pima pamoja na mambo mengine anawataka wafanyabiashara wadogo maarufu kama Wamachinga kufuata taratibu huku wakisubiri zoezi la ukarabati kufanyika na baada ya ukarabati utaratibu utafanyika ili kuweza kupanga wafanyabiashara kulingana na taratibu lengo ikiwa ni kulinda afya za watu na maisha ya watu. 

Anasema kuwa Serikali inajali afya za watu na dhamana ya maisha ya watu iko mikononi mwa Serikali kuwa tahadhari kabla ya hatari ni bora kuliko kusubiri hatari. 

Anawakumbusha wafanyabiashara maarufu kwa jina la Wamachinga kwenda kujiandikisha ili waweze kupata kitambulisho na kurasimisha biashara zao w na kuwatenga na wafanyabiashara wakubwa wanaojiita wamachinga wakati hawana sifa ya kuitwa Machinga. 

Ametaja vituo vya kujiandikisha kuwa ni Makao makuu ya Halmashauri ya Jiji la Arusha, Kata ya Levolosi Kata ya Themi, kata ya Muriet na kuwa katika vituo hivyo kuna wataalam wanaotoa maelekezo ya jinsi ya kujiandikisha. 

Kimsingi anasema kuwa wafanyabiashara ambao hawatajiandikisha watahesabiwa kuwa ni wafanyabiashara wakubwa wataingia katika orodha ya wafanyabiashara wanaotakiwa kuchukua leseni za biashara. 

Hata hivyo anasema kuwa Serikali imechukua hatua kwa kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wafanyabiashara ambao hawana mahali pakufanyia kazi zao na kwamba wataoneshwa maeneo hayo lengo ikiwa ni kuwawezesha kufanya kazi katika mazingira salama ambayo hawezi kuhatarisha maisha yao. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa