• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII YASISITIZA ELIMU YA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Posted on: October 29th, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Kamati ya huduma za jamii(Uchumi, Elimu na Afya) ya Halmashauri ya Jiji la Arusha imewataka Maafisa maendeleo ya jamii wa Jiji hilo kutoa elimu ya kutosha kuhusu mikopo ya asilimia kumi ili kila mlengwa aweze kunufaika.

Akizungumza Jijini Arusha, Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Isaya Doita alisema ni vyema Maafisa mendeleo ya jamii wakahakikisha wanaweka mikakati mizuri ya utoaji elimu kwa wananchi waelewe utaratibu wa uchukuaji wa mikopo pasipo kuwa na vikwazo vyovyote vinavyoweza kuwakwamisha kuchukua mikopo hiyo ya halmashauri.

"Elimu ya mikopo hiyo ikitolewa kuanzia ngazi ya viongozi wa mitaa itasaidia kuongeza tija katika makundi ambayo yanahitaji mikopo hiyo kwa ajili ya kujiendeleza na kukua kiuchumi,"Alisema Doita ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Ngarenaro.

Aliongeza kuwa fedha nyingi mikopo ya asilimia 10 zinapotea kutokana na baadhi ya walengwa kukosa elimu na taarifa katika halmashauri hiyo hazionyeshi maendeleo yoyote hivyo ni wajibu wa Maafisa maendeleo kufuatilia ili kuleta tija ya mikopo hiyo.

"Ni wajibu wa Maafisa maendeleo wa wilaya ya arusha kufuatilia maendeleo ya wanufaika wa mikopo hiyo ili kuleta tija ,"alisema Doita.

Awali Mhe. Doita aliisifu Halmashauri ya Jiji la Arusha kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kuja  na mkakati wa 'City Mobile Training Unity' kwa maana ya kufikisha huduma kwa jamii ya wananchi ambalo kwa kuanzia limenzia katika kata ya Terrat na kusema kuwa zoezi hilo ni zuri na lenye tija na kusisitiza kuwa liwe endelevu kwa manufaa ya wananchi wote wa Jiji la Arusha. 

Kwa upande wake,Mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii,Shabani Manyama alisema sekta zote zinahitajika kushusha huduma kwa jamii katika kuwa na umiliki kwenye miradi iliyotekelezwa katika maeneo yao ili kuleta tija ya serikali kuwekeza fedha.

"Na ndio maana mahali popote ambapo hakuna nguvu za wananchi hatuleti maendeleo kwani lazima waweke nguvu zao katika utekelezaji wa miradi ili waweze kuona uchungu wa kuilinda,"alisema.

Mmoja wa wakazi wa jiji la Arusha,Grace Kivuyo aliishukuru Halmashauri ya Jiji la Arusha  kuanzisha mkakati wa utoaji wa elimu kupitia vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu kwani walikuwa wanapata adha ya kukosa mikopo kutokana na kushindwa kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa