• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kanuni mpya za kudumu kuanza kutumika mwaka 2017/2018

Posted on: July 28th, 2017

Halmashauri ya jiji la Arusha limezindua kanuni mpya za kuduma zitakazoongoza uendeshaji wa vikao vya Kamati pamoja na Baraza la Madiwani la Jiji la Arusha kuanzia mwaka ujao wa Fedha 2017/2018.

Uzinduzi huo umefanyika katika kikao cha kota ya Nnne cha Baraza la Madiwani kilichoketi mapema mwezi Julai kupitisha taarifa za utendaji kazi wa Halmashauri kwa kipindi cha mwaka mzima wa 2016/2017.

Akifungua kikao hicho Mstahiki Meya wa jiji la Arusha Mhe. Kalisti Lazaro Bukhay alisema ni muhimu kwa kila diwani kuzisoma na kuzifahamu kwa undani Kanuni hizo za kudumu na kuzizingatia katika kila kikao ili kupesha mkakanganyiko uliokuwa unatokea hapo awali wakati wa uendeshaji wa vikao.

“Haiwezekani Mhe.Diwani unachangia hoja moja zaidi ya dakika 20 au Diwani mwingine anarudia hoja ambayo mjumbe wa awali alikwisha izungumza hapo awali kirefu na na kusababisha kikao kimoja kufanyika kwa siku nzima bila kukamilika hii kusababisha upotevu wa muda na rasimaliza za Halmashauri”.

Aliongea kuwa katika mwaka ujao wa Fedha anategemea ukomavu wa madiwani na wataalamu katika uendeshaji na usimamzi wa Vikao na hategemei kushuhudia makosa madogo madogo kama yale yaliokuwa yakijitokeza katika vikao vinavyoishia katika mwaka huu wa fedha.

Sambamba na hilo Mkurugenzi wa Jiji Ndg. Athuman kihamia ameelezea mafanikio ya Jiji yaliyopatikana kwa kipindi cha mwaka husika kuwa ni pamoja suala la ukusanyaji wa Mapato kwani wamevuka malengo kwa zaidi ya asilimi 13.

“Kwa mara ya kwanza katika historia ya Jiji tumekusanya Mapato ya ndani kwa asilimia 113 na kuweza kuchangia asilimia 60 ya mapato hayo kutekeleza shughuli za maendeleo huku asilimia 40 ikitumika katika matumizi mengine ikiwemo mishahara ya watumishi na kuendesha ofisi” alisema Kihamia.

Sambamba na hilo mafanikio mengine yamepatikana katika uboreshaji wa miundombinu kazi kubwa iliyofanyika ni ujenzi wa barabara kwa kiwango cha Lami, changarawe, matengenezo ya muda maalum, vivuko pamoja na madaraja katika baadhi ya barabara.

Aliongea kuwa “tulifanikiwa zaidi katika ujenzi na ukarabati wa vyumba vya madarasa 87 kwa shule za msingi na sekondari na pamoja na ujenzi wa vituo vitano vya kutolea huduma za afya ambavyo vipo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji.

Aidha Kikao hicho cha baraza la madiwani kiliweza kupokea taarifa mbalimbali kutoka katika Taasisi za kiserikali zinazotoa huduma kwa wananchi wa jiji la ArushA kufanya uchaguzi wa wenyeviti wa Kamati za Kudumu pamoja wajumbe sanjari na uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Arusha.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa