• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kihamia kuongoza mafunzo ya Wahe. Wabunge,Madiwani na wataalam kutoka Kilombero

Posted on: June 13th, 2018

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Athumani Kihamia amedhihirisha umahiri wake kiutendaji kwa kuongoza mafuzo ya wabunge wawili, Wah. Madiwani 35 na wataalamu watano (5) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero waliofanya ziara ya kimafunzo katika Halmashauri ya jiji la Arusha.

Kihamia ametoa upendeleo huo na heshima kubwa kwa ugeni huo  mapema hapo juzi ambapo  Lengo la ziara ya wataalamu hao lilikuwa ni kujifunza kuhusu miradi ya uwekezaji inayoiingizia mapato Halmashauri pamoja na  usimamizi na  ukusanyaji wa  mapato ambapo mara zote mafunzo hayo yamekuwa yakitolewa na wataalamu kutoka katika idara na vitengo husika.

“Siri kubwa mbili katika kupiga hatua kwenye ukusanyaji wa mapato ni kuwa na mifumo ya uhakika ya ukusanyaji wa mapato Pamoja na kuwajengea uwezo watumishi na kuwasimamia ipasavyo Pamoja na kuhakikisha wanapata stahiki zao kwa mujibu wa sheria Pamoja na kuwapa motisha watumishi wanaofanya vizuri ktika maeneo yao ya kazi ili kupunguza vishawishi wanavyokumbana navyo hasa watumushi  katika idara ya Fedha ambayo ndio mhimili mkuu katika Halmashauri zote nchini”. Alisema Kihamia wakati wa mafunzo

Kufuatia heshima hiyo mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero Mhe. David Lugazio  Amempongeza Ndg. Kihamia kwa moyo wake na umahiri mkubwa katika kusimamia shughuli za kiutendaji ukilinganisha na wakurugenzi wengine wa Halmashauri zote nchini.

Katika ziara hiyo pia wageni walifanikiwa kutembelea eneo la machinjio ya kisasa linalomilikiwa na Halmashauri ya jiji la Arusha linalojulikana kama Arusha Meat na kujionea namna Halmashauri inavyoweza kujiongezea mapato kupitia mradi huo mkubwa.



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa