• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kikao kazi

Posted on: March 23rd, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Wilaya ya Arusha Mhe. Fabian Gabriel Daqarro mwishoni mwa wiki hii amekutana na Maafisa Watendaji wa Kata zote za Jiji la Arusha kuzungumzia kuhusu masuala mbalimbali muhimu yanayotakiwa kupewa kipaumbele katika Wialaya hiii.  

Katika Kikao hicho Dc Daqarro ametilia mkazo masuala ya Usalama wa Chakula katika Mitaa yote, Ulinzi na usalama, usimamizi wa miradi ya maendeleo pamoja na utoaji wa taarifa za matukio yasiyo ya kawaida yanayotokea katika kila Kata.

Akizungumza katika kikao hicho alisema “nahitaji kupata takwimu sahihi kutoka katika kila Kata ya mahitaji ya Chakula, kiasi kilichopo na namna ambavyo mmejipanga kukabiliana na upungufu endapo utatokea, kila afisa ugani wa eneo husika ahakikishe anatoa elimu ya kutosha na kufuatilia kuhusu usalama wa chakula katika eneo lake na kuwasilisha taariha hizo katika Ofisi yangu. Sitamuelewa mtendaji ambaye kwa kutokuwajibika kwake kutasababisha njaa ama upungufu wa chakula kwa namna yeyote ile.

Aidha alisisitiza kusimamia miradi ipasavyo ili iwe na ubora na iweze kudumu muda mrefu, kusimamia Usalama wa Kata kwa kutoa taarifa za kila tukio lisilo la kawaida linalotokea kila siku na kudhibiti uingiaji wa wageni kutoka nje ya nchi wanaofika katika Kata.

“Wageni wote wa Nje ya Nchi lazima taarifa zao zifikishwe kwa Afisa uhamiaji wa Wilaya ili kujiridhisha kwamba wameingia nchini kihalali na kuwa na shughuli maalumu iliyowaleta katika maeneo yenu aliongeza”.

Sambamba na hilo alisema si ruhusa kwa Mtendaji wa Kata kutoa mihutasarti kwa ajili ya  kumilisha upatikanji wa  silaha kwa sababu hivi sasa zoezi hilo limesitishwa mpaka pale Uhakiki wa silaha utakapokamilka hivyo kwa kuwa muombaji ni lazima aanzie kwenye ngazi ya kata si ruksa  kwa vikao husika kutoa mihutasari ya aina hiyo.

Mwenyekiti wa Watendaji wa Kata  katika Jiji la Arusha Ndg. Suleimani Kikingo alisema kwa umoja watahakikisha kwamba maagizo yote yaliyotolewa wanayatekeleza kwa ufanisi ili kuleta mabadiliko ya haraka na kutoa hudma bora kwa wakazi wa Jiji hili



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa