• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Kiongozi mbio za Mwenge kitaifa alipongeza Jiji la Arusha kwa utekelezaji bora wa Miradi

Posted on: June 22nd, 2022

Na Mwandishi Wetu 

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndg. Sahili Geraruma amelipongeza Jiji la Arusha kwa kuhakikisha miradi saba ya maendeleo yenye jumla ya Sh. bilioni 3.4  iliyokaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi imetekelezwa kwa asilimia 100. 

Aidha ametoa pongezi kwa Jiji hilo baada ya kujionea uhalisia wa mradi wa  vijana wa kuongeza thamani ya bidhaa za nyuki wa Sessan Enteprices wenye vijana walionufaika na mkopo wa asilimia 10 unaotolewa na halmashauri ya Jiji la Arusha. 

Alisema miradi iliyozunduliwa na mwenge huo wa uhuru katika Jiji la Arusha ikiwemo mradi wa maji Terrat-Muriet, Kituo cha Afya Mkonoo, Ukaguzi wa Nyumba ya Waraibu wa dawa za Kulevya sanjari na kuwakabidhi kadi za matibabu za Bima ya Afya 178 kwa warahibu wanaoishi Sobar House nne ni ishara tosha ya kuwa Jiji hilo ni la mfano katika kuhakikisha miradi inatekelezwa kulingana na thamani halisi ya fedha. 

Alisema miradi iliyotembelewa na mingine iliyowekwa jiwe la msingi imeonyesha dhahiri kuwa Maendeleo ya wananchi yanakuwa ikiwemo kuimarisha uchumi wa wananchi wa Jiji hilo

"Nawapongeza Jiji la Arusha kwa miradi mliyotekeleza ikiwemo huduma za maji lakini pia kilichotuvutia zaidi ni huu mradi wa vijana wakuongeza thamani bidhaa za nyuki mradi huu ni wa mfano kwasababu fedha za halmashauri za mikopo zimezaa matunda na kuzalisha ajira kwa vijana"

Ukiwa eneo la Murriet mwenge huo uliweka jiwe la msingi mradi wa usambazaji wa maji katika kata hiyo utakaonifaisha wananchi zaidi ya 24,000 ambapo mradi huo upo chini ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (AUWSA) 

Aidha, mmoja kati ya warahibu eneo la Njiro,Jumanne Ally alitoa rai serikali kuwasaidia warahibu ambao wamepona na wanahitaji kujiajiri au kuajiriwa katika fani mbalimbali nchini kwani baadhi yao ni wasomi na walijiingiza kuvuta unga kutokana na vishawishi vya aina mbalimbali. 

"Tunaomba tupewe mikopo katika halmashauri mbalimbali sanjari na kazi kwani hapa kunawasomi na wengine wanaujuzi mbalimbali,tusitengwe bali tupewe nafasi ya kuonyesha kuwa tunaweza kufanya kazi zozote kwaajili ya kujikwamua kiuchumi"

Naye Mkuu wa Wilaya ya Arusha,Said Mtanda alisisitiza wananchi kushirikiana na serikali katika kuinua sekta mbalimbali ikiwemo kujikwamua kiuchumi. 


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa