• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MAAFISA MAENDELEO YA JAMII, HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA MAKUNDI MAALUM

Posted on: February 22nd, 2021

Maafisa Maendeleo ya Jamii, Halmashauri Jiji la Arusha watakiwa kutoa elimu kwa makundi maalum

Na mwandishi wetu  

MAAFISA  Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Jiji la Arusha  wametakiwa kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi vya akina mama, vijana na walemavu ambao wanasifa ya kupata mkopo  wa asilimia 10 mikopo ambayo inatolewa kupitia mapato ya ndani ya kila Halmashauri nchini, Halmashauri ya Jiji la Arusha  ikiwa miongoni mwa Halmashauri hizo, yakiwa ni  maagizo ya Serikali.

Lengo la kutolewa kwa mikopo kwa makundi hayo ni kuwawezesha kuanzisha shughuli za kujikwamua kiuchumi na hatimaye kuupa umaskini kisogo.

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima ametoa maagizo kwa maafisa maendeleo ya jamii wa Halmashauri hiyo kutoa elimu sahihi kwa walengwa ili waweze kupata mikopo na kuanzisha miradi yenye tija .

Dk. Pima anasema kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha imefanya vizuri katika kutoa mikopo kwa walengwa lakini imebainika kuwa baadhi ya wanakikundi wameshindwa kuanzisha miradi yenye tija na baadhi ya wanakikundi wamebainika kutumia fedha hizo kinyume na malengo .

Mwanamsiu  Dossi ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Jiji la Arusha anasema kuwa tayari wameanza kutoa elimu katika kata 25 kwa   makundi yaliyoainishwa na yenye sifa ya kupewa mkopo na kwamba nia ya  wataalam ni kuona maisha ya watu yanabadilika na kuwa bora Zaidi .

Kimsingi alisema kuwa  wamefurahi kukumbushwa  maagizo ya Serikali ya namna  na kwamba wataendelea kutoa elimu ili kuwezesha  walengwa kubuni na kuanzisha miradi bora  na hatimaye kuondokana na umaskini .

Dossi alisema kuwa wanatarajia kuona maisha bora na mapinduzi makubwa ya maendeleo ikiwa wananchi na walengwa wa mikopo hiyo watapokea elimu na ushauri kutoka kwa wataalam wanaopatia elimu juu ya namna bora ya kutumia mikopo watakayopata .

Kwa upande  wao  maafisa hao wa maendeleo ya jamii wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema kuwa elimu kwa walengwa wa mikopo hiyo inahitajika na kudai kuwa  wataendelea kutoa elimu bila kuchoka ili kupata miradi yenye tija na hatimaye kuwezesha wahusika kuondokana na umaskini .

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa