• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MAENDELEO HAYAITAJI SIASA-MEYA MANISPAA YA KINONDONI

Posted on: November 6th, 2023

Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranghe amewataka Madiwani na Wataalam Jiji la Arusha kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwezesha kufanya mambo makubwa ya maendeleo.

Ameyasema hayo alipokuwa akitoa neno la Shukrani kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge na wataalam wa Manispaa hiyo Jijini Dar es Salaam.

Amesema Jukumu kubwa lililobaki kwa Madiwani na wataalam wa Jiji la Arusha ni kujifunza yale mazuri yaliyofanywa na manispaa hiyo na kisha kwenda kuyafanya kwa vitendo.

Meya Maximilian amesema Madiwani hao na wataalam wamefika katika manispaa hiyo kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa kuutendaji hasa namna ambavyo miradi ya maendeleo inatakelezwa na ukusanyaji wa mapato unavyosimamiwa.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Songoro  Mnyonge ameshauri kuwa kuna wakati wakufanya siasa na kuna wakati wakufanya maendeleo hivyo vitenganishwe ili malengo na matakwa ya Serikali ya awamu ya Sita yakuwaletea maendeleo wananchi ifanikiwe.

Amesisitiza kuwa katika hatua zakuleta maendeleo ni lazima kuwe na ushirikiano, kuheshimiana na kuaminiana.

Nae, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ole Soilel  amewashauri Madiwani na Wataalam wa Jiji la Arusha kwenda kufanya maamuzi magumu ili wananchi waendelee kupata maendeleo.

Amesema maendeleo yatapatikana kama siasa haitaingilia shughuli za maendeleo.

Ziara ya Madiwani na wataalam wa Jiji la Arusha Mkoani Dar es Salaam imefanyika kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa upangaji Miji, ukusanyaji wa Mapato, shughuli za usafi wa mji, uibuaji wa miradi ya maendeleo ambapo miradi iliyotembelewa ni ujenzi wa standi ya Mwenge, jengo la biashara na kiwanja cha mpira.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa