• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mafunzo ya Makarani waongozaji wapiga kura katika uchaguzi mdogo wa Madiwani kata ya Murriet

Posted on: November 22nd, 2017

Msimamizi wa uchaguzi mdogo jimbo la Arusha Mjini ndg. Athumani kihamia amezindua rasmi mafunzo ya makarani waongozaji wapiga kura watakaoshiriki katika zoezi la uchaguzi mdogo wa madiwani kata ya Murriet ifikapo Tarehe 26.11.2017, jijini hapa. Mafunzo hayo yamezinduliwa rasmi mapema leo hii katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

“Mmepata nafasi hii ya kuwa makarani waongozaji wapiga kura  kwa kuwa mna uwezo mkubwa wa kuwaongoza  na kuwasimamia ipasavyo wapiga kura bila kuvunja sheria elekezi ya Tume ya Uchaguzi  hivyo nina imani mafunzo mliyopatiwa leo mtayatekeleza vyema” . Alisema   msimamizi wa uchaguzi huyo ambaye pia ni Mkurugenzi wa jiji la Arusha.                           

Aidha msimamizi huyo wa uchaguzi amewataka makarani waongozaji wapiga kura kutojihusisha au kushabikia chama chochote  cha siasa jambo litakalopelekea kuharibu uchaguzi huo  vilevile kuepuka hali yoyote ya upendeleo wa kiitikadi.

Pia amewataka makarani wote kuwa waadilifu katika kuwaongoza wapiga kura siku hiyo ya tarehe 26/11/2017 kwa kufata kanuni na sheria za uchaguzi na pia kuwa waaminifu kwa kuficha siri za uchaguzi huo.

Afisa Utumishi Ofisi ya Rais, Bi. Tausi Moshi pia alipata fursa ya kuongea na makarani waongozaji wapiga kura ambapo alitoa onyo kwa  makarani hao kutojihusisha na vitendo vya rushwa  ama vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani  kwani vipo nje ya maadili na vinaweza kuharibu kwa kiasi kikubwa  zoezi hilo la uchaguzi.

Semina kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa Madiwani kata ya Murriet jijini Arusha imekamilika kwa makarani waongozaji wapiga kura na itaendelea siku ya kesho Tarehe 23.11.2017 kwa wasimamizi wasaidizi wa vituo vya uchaguzi  katika ukumbi wa mkuu wa mkoa saa mbili kamili asubuhi.

MWISHO.

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa