• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2019 jijini Arusha Tarehe 10/06/2019

Posted on: June 11th, 2019



Pichani: Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg. Mzee Kongea Ali (Kushuto) akikabidhi chandarua kwa mkazi wa kata ya Moivaro wakati wa uzinduzi wa mradi wa wodi ya wazazi kituo cha afya moivaro wenye thamani ya shilingi milioni 106

Pichani: Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa wa Arusha (AUWSA) Mhandisi Ruth Koya akionyesha maendeleo ya mradi wa ujenzi wa tanki kubwa la maji lililopo mlima Burka kwa kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg.Mzee Kongea Ali



Pichani: Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa Ndg.Mzee Kongea Ali akiweka jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa ofisi ya kata ya Kati wenye thamani ya shilingi milioni 224.


Pichani: Meneja wa wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania (TARURA) mkoa wa Arusha Mhandisi Fodia Mwankenja akikabidhi nyaraka za mradi wa ujenzi wa daraja la Oljoro Murriet wenye thamani ya shilingi milioni 227 kwa kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa wakati wa uzinduzi wa mradi huo.

Pichani: Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa Ndg. Mzee Kongea Ali akitoa ujumbe wa Mwenge punde baada ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala katika shule ya sekondari Naura iliyopo kata ya Lemara.

***********************************************

Katika Jiji la Arusha Mwenge wa Uhuru umekimbizwa katika kata kumi (10) kati ya ishirini na tano (25) ambapo ni sawa na urefu wa kilometa 93.9.

Mwenge wa Uhuru umepita katika miradi nane (8), kati ya miradi hiyo miwili (2) imezinduliwa, miradi miwili (2) imewekewa jiwe la msingi na miradi minne (4) imetembelewa.

Miradi yote nane (8) ina thamani ya shilingi Bilioni 521.28

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa