• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mbunge Zaituni Swai atoa msaada wa vitu vyenye thamani ya Tshs. Million 2 Hospitali ya Ngarenaro.

Posted on: July 16th, 2021

Na Mwandishi Wetu

Mbunge wa Viti Maalumu Jimbo la Arusha Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mh. Zaituni Swai ametoa msaada wa vitu vyenye thamani ya Sh. Milioni 2 yakiwemo Mashuka ya hospitali, vitakasa mikono, ndoo za kunawia mikono,sabuni na vifaa vinginevyo katika kituo cha afya Ngarenaro ikiwa ni kuunga mkono jitihada za Halmashuri ya Jiji la Arusha na Serikali kwa ujumla katika kuboresha sekta ya Afya Jijini Arusha.  

Akikabidhi msaada huo Mh. Swai alisema kuwa anaunga mkono Jitihada za Serikali ya awamu ya Sita za kukuza na kuboresha sekta ya afya na kuwezesha wagonjwa kupata huduma bora wafikapo hospitalini hapo. 

Alisema kuwa amefurahishwa na huduma bora zinazotolewa katika hospitali hiyo na huku akiwatia moyo na kuwapongeza wauguzi wa hospitali hiyo kwa kazi kubwa na nzuri wanayofanya.

Mganga Mfawidhi hospitali ya Ngarenaro Dkt. Jackson Katunzi akipokea msaada huo kwa niaba ya Mganga Mkuu Jiji la Arusha Dkt. Kheri Kagya alisema kuwa wamefurahi kwa msaada huo na kwamba vifaa hivyo vitasaidia kuongeza chachu ya upatikanaji wa huduma bora hospitalini hapo.

Aliongeza kuwa msaada wa vifaa vya kujikinga na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO19) umefika wakati sahihi kwani itasaidia kupunguza maambukizi ya wimbi la tatu la ugonjwa huo hatari, huku akiwataka wananchi kuchukua hatua zote stahiki kujikinga na ugonjwa huo.

PICHANI: Mganga Mfawidhi hospitali Ngarenaro Ndg. Jackson Katunzi akipokea msaada wa mashuka ya hospitali, vitakasa mikono n.k kutoka kwa Mbunge Mhe. Zaituni Swai

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa