• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Meya Jiji la Arusha azindua rasmi kampeni ya Usafi kwa kata zote 25, awataka Wataalam kushiriki kikamilifu

Posted on: June 26th, 2021

Na Mwandishi Wetu

WADAU wa Maendeleo katika Jiji la Arusha wameungana na Meya wa Jiji la Arusha , Madiwani pamoja na Wataalam wa Halmashauri  ya  Jiji la Arusha katika  uzinduzi wa Kampeni ya Usafi wa mazingira katika soko la Kilombero. 

Kampeni hiyo ni mwanzo wa muendelezo wa kufanya usafi katika Kata 25  za Halmashauri ya Jiji la Arusha

Meya wa Jiji la Arusha Maximilian Iranqhe alisema kuwa lengo kampeni hiyo ni kuhamasisha usafi katika Jiji la Arusha na hatimaye kufanya Jiji la Arusha kuwa  mfano kwa mazingira safi ya Utalii na kuvutia watalii wa ndani na nje ya nchi. 

Mhe. Maxmillian Iranqhe anasema ili kuandaa mazingira mazuri ya Utalii ni muhimu kila mmoja kujali usafi Kwa kufanya usafi katika Makazi wanayoishi na mahala pa kazi. 

Mhe. Iranqhe amewataka Wataalam wa Afya na Maafisa Afya kutoka ofisini nakwenda kusimamia usafi katika Kata za Halmashauri ya Jiji la Arusha. 

Amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa agizo hilo kwamba  usafi Jiji la Arusha unawezekana.

Mhe. Iranqhe ameongeza kwa kusema kuwa usafi ni kichocheo cha maendeleo  na  fursa mbalimbali za kiuchumi kwa Wananchi pamoja na kivutio cha Utalii. 

Katika  hatua Nyingine Mh .Meya alikabidhi vifaa vya usafi kwa Madiwani wa Kata 25 za Jiji la Arusha ikiwa ni kuwezesha kuhamasisha wananchi wa Kata zao kufanya usafi katika Kata zao. 

Denis Mwita ni Katibu wa Chama cha mapinduzi Wilaya ya Arusha anasema kuwa hatua hiyo inaonyesha kuwa Viongozi na madiwani waliochaguliwa kupitia CCM wanania njema ya kuleta maendeleo katika Jiji la Arusha. 

Kampeni hiyo iliungwa mkono na wadau wa Taasisi mbalimbali wakiwemo NMB , TANAPA,CRDB , AICC, AZANIA BANK, ambapo baadhi ya Taasisi zilichangia vifaa vya usafi ikiwa ni matenki ya uchafu na mafagio ya Usafi. 

PICHANI : Wadau, Wananchi, Viongozi, na wataalam Jiji la Arusha Waliposhiriki zoezi la uzinduzi wa kampeni ya usafi katika Kata zote 25.








Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa