• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Mganga Mkuu Jiji la Arusha afungia Clinic ya IVF, ang’oa mabango ya matangazo ya utoaji wa huduma zinazoendeshwa katika kituo hicho kinyume na sheria

Posted on: November 22nd, 2018

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. Simon Chacha leo Tarehe 22 Novemba,  2018 amefungia utoaji wa huduma katika clinic inayofahamika kwa jina la ARUSHA IVF AND FERTILITY CLINIC  inayoshughulika na huduma  ya upandikizaji wa mimba  kwa kina mama kilichopo maeneo ya Uzunguni kata ya Sekei Jijini Arusha.

Dkt. Chacha amechukua hatua hiyo mara baada ya mmiliki wa kituo hicho Dkt.Sally  Kukaidi amri ya kutoa mabango yake ya matangazo na kuendelea kutoa huduma kinyume na sheria kwani bado hajakamilisha taratibu za usajili wa  kituo hicho kutoka Wizara ya Afya kabla ya huduma kuanza kutolewa ambapo kimekuwa kikitoa huduma kwa takriban miaka miwili sasa.


  • Pichani: Gari aina ya  NOAH lenye namba za usajili  T989 CGA ambalo limewekewa matangazo ya kituo hicho cha ARUSHA IVF AND FERTILITY CLINIC  

...............................................................................................................................

“Tumeamua kutoa haya mabango kwani mmiliki wa kituo hiki amekuwa akikaidi amri ya kuyatoa kama ambavyo mara kwa mara tumekuwa tukimwelekeza na kumtaka kufanya hivyo na amekuwa akisambaza mawasiliano ya kituo chicho kwa kutumia mabango haya pamoja gari aina ya  NOAH lenye namba za usajili  T989 CGA ambalo tumeshatoa taarifa kwa vyombo vya usalama barabarani endapo likionekana likamatwe mara moja ” alisema Mganga Mkuu huyo.


  • Pichani: Mafundi wakiwa katika zoezi la kuondoa bango kubwa la matangazo lililopo katika eneo la utawala/mapekezi ya kituo hicho.

..........................................................................................................

Aidha Dkt. Chacha ameongeza kwa kusema kuwa mmiliki wa kituo hicho anaishi Nchini Uganda na anafanyia kazi zake Dar es salaam hivyo amekuwa akiacha mtu katika clinic hiyo ambaye amekuwa akiwasiliana na wateja moja kwa moja kisha ndio afunge safari kuja kutoa huduma Jijini Arusha na kwa sasa hatua za usajili wa kituo hicho zimesitishwa mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa