• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

MKANDARASI WA UJENZI WA UWANJA WA AFCON AKABIDHIWA ENWO LA UJENZI

Posted on: April 6th, 2024

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo  Dkt.Damas Ndumbaro amesema uwanja wa mpira wa miguu (AFCON) ni wa wananchi ndio maana Serikali inawashirikisha kwa kila hatua.

Hayo amesema, alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mirongoine Kata ya Olmot, Jijini Arusha.

Uwanja huo ni maono na fikra za Rais Samia Suluhu Hassani katika kuhakikisha sekta ya michezo inakuwa na kushamiri.

Amesema AFCON iliamzishwa 1977 na ni mara ya kwanza kufanyika katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa nchi za Tanzania, Uganda na Kenya.

Katika eneo hilo kutakuwa na miundombinu mbalimbali ya Hoteli, kumbi za starehe, maduka makubwa.

Uwanja huu utaenda kukuza zaidi sekta ya utali kwani uwanja utakuwa kivutio kwa watu wengi.

Amesisitiza zaidi kuwa, uwanja huo utakuwa ni uwanja wa michezo kwani kutakuwa na sehemu za michezo mbalimbali kama vile riadha, mpira na pete.

Amemtaka Mkandarasi na mshauri mwelekezi kujenga uwanja wenye ubora na utakao kamilika kwa wakati.

Pia, amemtaka Mkandarasi kuhakikisha ajira zote wanapewa vijana wa Arusha hususani wa Kata ya Olmoti.

Uwanja huu, utabeba taswira ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo ni uwanja ambao sio wa kawaida.

Aidha, amesema kwa yale maeneo ya wananchi ambayo yatachukuliwa kwa ajili ya uwekezaji wa uwanja huo watalipwa stahiki zao halali.

Nae, Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amesema uwanja huo utagharimu kiasi cha Bilioni 286 hadi kukamilika kwake na utajegwa kwa miaka 2.

Amesema katika eneo hilo kuna viwanja 14 vilivyotegwa kwa ajili ya ujenzi wa Hotel hivyo amewakaribisha wawekezaji  kuwekeza katika maeneo hayo.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema uwanja huo utaleta fursa nyingi kwa Mkoa na hivyo kupanua wigo wa biashara.

Pia, sura ya Mkoa wa Arusha itabadilika na uwanja huo utakuwa kivituo kwa wageni wengi.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Wilfred Soileli amewataka wananchi wa Kata ya Olmot kuwa walinzi wa vifaa vitakavyotumika katika ujenzi wa uwanja huo.

Hafla ya kumkabidhi Mkandarasi eneo la ujenzi wa uwanja wa michezo Arusha umefanyika baada ya Mkandarasi kusaini mkataba wa ujenzi na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo mnamo Machi 16,2024 Jijini Dar es Salaam.




Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa