• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Jiji la Arusha atoa elimu juu ya uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019

Posted on: September 23rd, 2019

Msimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Ndg. Msena N. Bina mapema leo tarehe 23 Septemba 2019 katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Arusha Sekondari amekutana na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa ngazi ya Jimbo la Arusha Mjini, Kata na mtaa kuwapatia semina elekezi juu ya uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mnamo mwezi Novemba 24, 2019.

Pamoja na kupatiwa elimu juu ya uchaguzi zoezi hili limeenda sambamba na kuapishwa kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo la Arusha Mjini, Kata na Mtaa jumla wasimamizi wasaidizi 182 wameapishwa mapema leo ambapo ngazi ya Jimbo la Arusha mijini (3), Ngazi ya Kata (25) na ngazi ya mtaa (154). Kiapo hicho kilitolewa na Hakimu mfawidhi Mahakama ya Wilaya Bi. Amalia Mushi.

Katika elimu ya uchaguzi iliyotolewa na Ndg. Msena Bina alieleza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utahusika na kuchagua wenyeviti wa mtaa pamoja na wajumbe wa kamati ya mtaa tarehe 24 Novemba 2019 kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.

Uchaguzi utafanyika katika vituo vya kupigia kura katika kila mtaa na mpiga kura atatakiwa kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi, awe raia wa Tanzania, mkazi wa mtaa husika na awe na akili timamu.

Vilevile Ndugu Msena Bina alitoa wito kwa wote wenye nia na sifa ya kugombea nafasi za uenyekiti wa Mtaa na ujumbe wa kamati ya Mtaa wajitokeze bila kusita  na kuchukua fomu zitakazo kuwa zinapatikana kwenye ofisi za msimamizi msaidizi wa uchaguzi ofisi ya Kata.

Msena Bina aliongezea kwa kutaja tarehe za kuchukua fomu ya kugombea nafasi za uongozi ikiwa ni 29 Octoba kuchukua fomu na 4 Novemba 2019 kurudisha fomu hizo. Baada ya kutoa elimu hiyo kwa wasimamizi wasaidizi Msena Bina alitangaza rasmi taarifa kuwafikia wananchi kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki hivyo wakazi wote wenye sifa wajitokeze kuchagua viongozi bora kwa maendeleo ya Taifa.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa