• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Rais Samia Suluhu Hassan akabidhi Sh. Bilioni 1.3 za Mikopo robo ya kwanza ya mwaka, afurahishwa usimamizi bora wa mikopo Halmashauri ya Jiji la Arusha na kutaka Halmashauri zingine kuiga mfano huo

Posted on: October 17th, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekabidhi Sh. Bilioni 1.3 za Mikopo ya asilimia 10 robo ya kwanza ya mwaka 2021/2022 ambazo ni fedha za mapato ya ndani kwa makundi ya Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa usimamizi mzuri wa mikopo hiyo ya mapato ya ndani kwa makundi lengwa huku akisisisitiza fedha hizo zimelenga kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi. 

Mhe. Rais Samia ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ikiwa ni Ziara yake ya siku mbili yenye lengo kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi katika Mkoa huo.

Mhe. Rais Samia amesema kuwa anafurahishwa na matumizi sahihi ya fedha hizo kwa Jiji la Arusha kwani lengo la fedha hizo ni kutumika ipasavyo ili kuwaletea wananchi maendeleo na kwamba ni wajibu wa viongozi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha fedha hizo zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa na kwa wakati. 

Aidha, Mhe Rais Samia Suhulu Hassan amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt. John Pima kwa utaratibu mzuri wa kuhakikisha kuwa makundi yote lengwa yanapatiwa fedha stahiki huku akiwataka Wakurugenzi wengine wote kuiga mfano huo ili kuwawezesha wananchi hao kiuchumi. 

"tunataka Wakurugenzi wengine wafanye kama Dkt. Pima, kwa hiyo Hongereni sana sana kwa mpangilio huo mzuri mliouweka" Alisema Mheshimiwa Rais Samia Suhulu Hassan. 

Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa wataendelea kusimamia maelekezo ya Mhe Rais ya kuhakikisha kwamba mapato ya ndani ya Halmashauri yanaelekezwa kutumika kutatua kero mbalimbali za Wananchi. 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. John Pima amemshukuru Mhe. Rais Samia kwa kutoa fedha hizo kwa wananchi na kuahidi kwamba wataendelea kusimamia na kuhakikisha fedha hizo zinawafikia walengwa. 



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa