• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Rc Gambo kuikabidhi Halmashauri ya Jiji la Arusha vitambulisho 32,000 vya wafanyabiashara wadogo

Posted on: January 31st, 2019

Mkuu wa mkoa wa arusha mhe. Mrisho gambo ameikabidhi Halmashauri ya jiji la arusha vitambulisho 32,000 vya wafanyabiashara wadogo almaarufu kama machinga.

Makabidhiano hayo yamefanyika leo Tarehe 31/01/2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Arusha ikiwa ni awamu ya pili ambapo awamu ya kwanza Halmashauri ya Jiji la Arusha ilikabidhiwa vitambulisho 8,000 na mpaka sasa vitambulisho 6719 vimekwisha tolewa.

Pichani: Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqarro (wa kulia) akimkabidi vitambulisho vya wajasiriamali wadogo mmoja wa Maafisa Tarafa katika Jiji la Arusha Bw. Titho Cholobi.

................................................................................................................................................

Wakati wa zoezi la kukabidhi vitambulisho hivyo Mhe. Gambo ameipongeza Halmashauri kwa kulisimamia vizuri zoezi la ugawaji wa vitambulisho kwa wajasiriamali wadogo  na amewaagiza watumishi  wanaohusika na utoaji wa vitambulisho hivyo katika ngazi ya kata kutosubiri wafanya biashara wawafate katika vituo badala yake watumie muda wao kuwafata wafanyabishara katika maeneo yao ili kurahisisha ukamilishaji wa zoezi hilo.

Kadhalika Mhe. Gambo alitolea ufafanuzi juu ya dhana nzima ya wafanyanyabishara wadogo kuwa ni miongoni mwa wale wasio katika sekta rasmi kwa maana ya kuwa  hawalipi kodi ya biashara katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na  wala hawalipi ushuru wowote  Halmashauri.

“Kitambulisho hiki kitamsaidia mjasirimali mdogo kufanya biasha zake awapo  popote nchini hivyo niwaombe wafanyabiashara wadogo  kujitokeza kwa wingi kuchukua vitambulisho hivi na kutoa taarifa sahihi ili kuepuka kuchukuliwa hatua kali za kisheria endapo itagundulika kuwa taarifa ni za kughushi” alisema Mhe. Gambo.

Pia amewataka Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqarro na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni kushirikiana na watumishi katika ngazi ya kata kuzitambua nyumba au majengo katika kusaidia zoezi la ukusanyaji wa kodi ya majengo na pia Maafisa watendaji wa kata na mitaa watembelee nyumba hadi nyumba kuwafatilia walipa kodi ya majengo na  wawasilishe taarifa za kila mwezi za walipa kodi katika maeneo yao.


Pichani:Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni (wa kushoto) akimkabidi vitambulisho vya wajasiriamali wadogo Afisa  Mtendaji wa kata ya  Murriet iliyopo Jiji la Arusha.

.....................................................................................................................................................................


Naye Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini Mhe. Gabriel Daqarro wakati akitoa taarifa yake ya zoezi la ugawaji wa vitambulisho  linaloendela amesema kuwa changamoto kubwa ni wafanyabiashara kutokuwa na uelewa sahihi juu wa watu wanaostahili kupatiwa vitambulisho hivyo na pia muitikio mdogo wa wafanyabiashara kufika katika eneo la kutolea vitambulisho hivyo.

“Awali tulikabidhiwa vitambulisho 8,000 na mpaka sasa 6719 vimeshatolewa na vimebaki 1281 hivyo niwaombe watumishi katika vituo vyenu muifanye huduma hii kuwa rafiki kwa mfanyabiashara wakati tukiendelea na zoezi hilo” aliongeza Mhe. Daqarro.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa