• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Serikali kuajiri vijana kupitia miradi ya ufugaji wa samaki wa njia ya Kisasa

Posted on: December 15th, 2020

Na Mwandishi wetu

SERIKALI imesema kuwa itawezesha vijana kuanzisha miradi ya ufugaji wa samaki wa njia ya kisasa ikiwa ni hatua mojawapo ya kuwawezesha kujiajiri na kuondokana na tatizo la ajira kwa vijana na kwamba wadau wa ufugaji wenye nia yakufundisha vijana kupata ujuzi wa ufugaji wa kisasa watapewa ushirikiano wa karibu ili waweze kufanikisha nia njema ya kuwapatia vijana ujuzi kwa kushirikiana na serikali .

Naibu Waziri wa Mifugo na uvuvi Mh  Pauline  Philipo Gekul akizungumza katika  kituo na shamba  la uzalishaji Samaki wa njia ya kisasa kinachojulikana  kwa jina  la Shanzan  kilichopo Njiro ,Halmashauri ya Jiji la Arusha alisema kuwa mikopo wa Vijana inayotolewa  katika Halmashauri wa asilimia 4 inatakiwa kutumiwa  kuanzisha  mradi kama huo wa ya ufugaji wa samaki wa kisasa  .

Mh  Gekul alitaka vijana kujitokeza kuchangamkia fursa ya ufugaji  kwamba Serikali inania ya kuongeza ajira kwa vijana kuwa ufugaji ni njia mojawapo ya kuajiri Vijana .

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk.John Pima alisema kuwa tayari Halmashauri ya Jiji la Arusha imeanza mkakati wa ufugaji wa kisasa na kwamba mikopo ya makundi maalum ya vijana ,wanawake na walemavu itaanzisha miradi mikubwa kama ufugaji wa kisasa wa Samaki na kuhimiza makundi hayo kujitokeza ili kupatiwa elimu na fedha za kuanzisha miradi hiyo .

Dk.Pima anasema kuwa kuwa tayari Tshs zaidi  million 500 zipo kwa ajili ya kukopesha makundi maalum ya Halmashauri hiyo na kuhimiza Vijana kujitokeza wakiwa wamejiunga kwenye vikundi na kuandaa mpango bora wa mradi husika ili kuweza kupata mkopo wa kuanzisha ufugaji bora utakaowaondolea umaskini.

“Sasa hivi hatutoa fedha ,tutatoa fedha kwa ajili ya miradi  na vifaa ,niwaombe makundi maalum kuja na mpango bora kuibua mradi wanaodhani utawawezesha kufikia malengo ya mafanikio “alisema Dk.Pima

 Naye ,Naibu Meya wa Jiji la Arusha Mh. Veronika Hosea akizungumzia mradi huo alisema kuwa kwa kushirikiana na madiwani wenzake ,watahakikisha wanahamasisha ufugaji  wa samaki kwa njia ya kisasa kwa kuwa unaweza kufuga hata nyumbani na siyo lazima katika mabwawa ya samaki .

Mh. Hosea anasema kuwa Jiji la Arusha linajivunia kuwa na mfugaji wa samaki wa njia ya kisasa  kama huyo  kwamba atafundisha vijana na watu wenye nia ya kufuga kwa kisasa .

Zainali  Bhimani ,ambaye ni mwekezaji wa  wa Shamba la Samaki Shanzan Njiro ,anamuomba Naibu Waziri kumpelekea ombi la kusafirisha samaki kwenda maeneo mbali mbali nchini kwa bei nafuu kwa kuwa gharama za usafirishaji ni kubwa hali inayomfanya kushindwa kufikia malengo yake kwa haraka .

Bhimani aliongeza usafiri wa gari unachelewesha kufikisha mzigo haraka hali inayochangia samaki kuharibika kwamba usafiri utamuwezesha kufikia walengwa wengi hatimaye kuwezesha kuchangia uchumi wa nchi .

Pamoja na mambo mengine alisema kuwa yuko tayari kufundisha makundi mbali mbali namna ya ufugaji bora wa samaki kwa njia ya kisasa ambayo haitegemei mabwawa .

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa