• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA CHANJO

Posted on: April 24th, 2023

Na Mwandishi Wetu 

Arusha. 

Serikali imesema itaendelea kutekeleza Wajibu wa kuimarisha huduma za chanjo zinazotolewa kwa watoto kupitia vituo vinavyotoa huduma za Afya hapa nchini .

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Felician Mtahengerwa wakati akizindua maadhimisho ya wiki ya chanjo Duniani inayotolewa kwa watoto walio na umri wa Chini ya Miaka 5 (Mitano) katika  Halmashauri ya Jiji la Arusha yaliyozinduliwa katika kituo Cha afya levolosi cha Jijini humo. 

Mhe. Mtahengerwa amesema Serikali imeendelea kutoa elimu ya afya kuhusiana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo kwa njia mbali mbali ikiwemo vyombo vya habari na vituo vya kutoa huduma za Afya. 

Mtahengerwa ameeleza kuwa  Mtoto asiyepata chanjo ni hatari kwa maisha  yake na Kwa jamii inayomzunguka kwani anaweza kuambukizwa au kuambukiza  mwingine ugonjwa pasipokuwa na kinga na kuongeza kuwa Chanjo hizo ni salama na hutolewa bila malipo na wauguzi wenye ujuzi .

"Chanjo zitolewazo katika zoezi hili ni zilezile ambazo hutolewa kwenye vituo vya huduma ya Afya katika ratiba ya kawaida ya utoaji wa huduma ya chanjo "alisema Mtahengerwa. 

Sambamba na hayo amesema Halmashauri ya Jiji la Arusha inaendelea kutoa elimu ya afya kwa umma na huduma mbali mbali za tiba na kinga kwa kufuata miongozo yote ya Wizara ya Afya na  mwitikio ni mkubwa kwa jamii. 

Naye Dkt. Samson Joseph, ambaye ni Kaimu Mganga Mkuu wa Jiji la Arusha ameeleza umuhimu wa chanjo kuwa ni  pamoja na watoto  kujikinga pindi wanapopata magonjwa kutodhurika Kama mtoto mwingne ambaye hajapata chanjo. 

"Kuna magonjwa mengine Kama surua tayari mtoto anapokuwa na chanjo anapokumbana na ugonjwa Kama huu kwakweli anaweza hata dhurika Kama mtoto mwingine ambaye hajapata " alisema Dkt. Joseph. 

Aidha  kauli mbiu ya maadhimisho ya wiki ya chanjo Duniani Ni "jamii iliyopata chanjo, jamii yenye Afya" ambapo kitaifa yamezinduliwa mjini Babati Mkoani Manyara.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa