• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Siku ya mtoto wa Afrika,kuing'arisha Maweni

Posted on: June 16th, 2017

Shule ya Msingi Maweni iliyopo kata ya Murriet  Jiji la Arusha yapata fursa ya kipee katika maadhimisho ya siku ya  mtoto wa Afrika kwa kutembelewa na wadau mbalimbali wa maendeleo ya elimu katika kuadhimisha siku ya mtoto wa Afrika mapema leo hii.

Shule  hiyo  iliyopo pembezoni mwa Jiji kwa mda mrefu tangu kuanzishwa kwake imekuwa ikikumbwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa maji,  umbali mrefu  kutoka  maeneo ya mjini na miundombinu mibovu ya barabara.

“Naishukuru serikali kuridhia mkataba wa kuadhimisha siku hii. Mtoto wa afrika ni namna ya kuunganisha bara letu kifikra na kusimamia ustawi wa watoto ambapo tunakumbuka mauaji ya watoto  zaidi ya  500 huko Soweto mnamo mwaka  1976 ” alisema mkuu wa wilaya ya Arusha Ndg. Fabian Daqaro ambaye ndie mgeni rasmi katika maadhimisho hayo.

Pia aliongeza kwa kusema kuwa ni jukumu la kila mtanzania kukataa vitendo vya kinyanyasaji  kwa watoto na kuwapa ulinzi wa kutosha, haki ya matibabu na elimu bora kama ambavyo kauli mbiu inavyosema, maendeleo endelevu 2030, tuimarishe ulinzi na fursa kwa watoto.

Kufuatia sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2018  amewaasa wazazi na jamii kuachana na tamaduni mbaya ya ndoa za utotoni na vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti kwa watoto.  Pia ametoa rai kwa watoto kukataa kuingizwa katika makundi mabaya na wawe watii kwa wazazi, walimu na jamii inayowazunguka.

Naye mwalimu mkuu shule ya msingi maweni  Ndg.  Godfrey Kishota katika risala yake ametaja uhaba wa maji  kuwa ni changamoto kubwa katika shule yao na ameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara katika shule yao kwani imekuwa kikwazo kikubwa kwa walimu na wanafunzi kuwahi shuleni hasa kipindi mvua zinaponyesha.  

Katika risala ya watoto Wilaya ya Arusha , Mtoto Pendo Edward  wa darasa la saba katika shule hiyo  ameainisha  changamoto wanazokumbana nazo ni pamoja na miundombinu mibovu kwa walemavu, upungufu wa walimu wenye sifa , ndoa za utotoni , vitendo vya kubakwa na kulatiwa, upungufu wa vyumba vya madarasa na pia wametaka wapewe ulinzi wa kutosha ili waweze kutimiza ndoto zao.

Miongoni mwa maonyesho yaliyoweza kuonyeshwa  na wanafunzi wa kawaida na  wenye  matatizo ya akili  (usonji)  kutoka katika makampuni ya Women and Child Vision (WOCHIVI) , Connects Autism Tanzania na Compassion ni pamoja na  ushonaji wa  nguo, ususi wa nywele na jinsi watoto wenye usonji wanavyoweza kushiriki katika kupata elimu kupitia teknolojia ya Tehama  kwa fursa sawa na wale wa kawaida

Sambamba na sherehe hizo, mgeni rasmi pia alipata fursa ya kuwatunukia vyeti na zawadi makampuni na wadau walioweza kujitoa kwa hali na mali kufanikisha siku ya Mtoto wa Afrika .

Mtoto wa Afrika ni siku ya kuwaenzi  watoto zaidi ya 500waliopoteza maisha kwa kuuwawa kikatili huko mjini  Soweto - South Afrika  mnamo mwaka 1976



Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa