• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

UMOJA NA MSHIKAMANO NDIO VINALETA MAENDELEO

Posted on: November 7th, 2023

"Utaratibu huu wakubadilishana uzoefu kati ya Halmashauri  ya Jiji la Arusha na Manispaa ya Temeke ukazae  ushirikiano baina yetu".

Hayo yamesemwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke Abdallah Mtinika katika kikao cha majumuisho ya ziara yakutembelea miradi iliyofanywa na Madiwa na wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Amesema kubadilishana uzoefu kuwe kwa ustawi mzima wa maendeleo ya taasis hizo mbili ambayo itampa heshima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kwa upande wake,Naibu Meya wa Jiji la Arusha Abraham Mollel amesema mambo yote ambayo madiwani na wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Arusha wamejifunza wataenda kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi na kuleta maendeleo kwa wananchi.

Mhe.Mollel amesema, yale yote ambayo wamejifunza Madiwani na Wataalam wataenda kuyatekeleza kwakuwa ndio lengo kubwa ya ziara hiyo ya kikazi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa na wataalam wote, Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha Kamala Simba amesema mambo mazuri waliyojufunza yanaenda kuwa chachu kwa watendaji kwa kuhakikisha mipango yote iliyowekwa inatekelezwa kwa kiwango cha juu.

Pia, kuongeza umoja, mshikamano na ushirikiano baina ya Madiwani na wataalam.

Katika kuhakikisha yote mazuri yanatendeka na miradi inakamilika kwa ubora Mkurugenzi wa manispaa ya Temeke Elihuruma Mabelya amesema wao wanashikana mkono na kuwa kitu kimoja ndio maana wanaweza kutembea pamoja.

Ziara ya Madiwa na Wataalam kutoka Jiji la Arusha imefanyika kwa siku ya pili katika manispaa ya Temeke na miradi mbalimbali waliipitia kwa lengo la kujifunza kama vile; Ujenzi wa Soko la Zakhiem, Kituo cha afya Mbagala na ujenzi wa Barabara ya Kilomita 10 pamoja na Daraja la Kilungule.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa