• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

UZINDUZI WA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA RUBELLA NA CHANJO YA KUZUIA UGONJWA WA POLIO.

Posted on: October 17th, 2019

Halmashauri ya Jiji la Arusha ni miongoni mwa halmashauri zote nchini zinazotekeleza kampeni ya chanjo  Surua Rubella pamoja na chanjo ya polio kitaifa inayotolewa kwa njia ya sindano (IPV). Kampeni hii imezinduliwa mapema leo Tarehe 17 Octoba 2019 na Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini Mhe.Gabriel Fabian Daqarro katika kituo cha afya Levolosi ambapo kampeni hii itaeendelea hadi Tarehe 21 Octoba 2019.

Daqarro ameelezea umuhimu wa chanjo ya Surua Rubella na ugonjwa wa Polio ni pamoja na kuwaepushia watoto ulemavu na vifo. Chanjo hii ya Surua Rubella inatolewa kwa watoto wenye umri wa kuanzia miezi 9-59 ikiwa lengo ni kufikia watoto 51366 na 35966 kwa chanjo ya ugonjwa wa polio. Daqarro amesisitiza timu ya uendeshaji wa huduma za afya wapeleke ujumbe kwa wananchi kuhusiana na umuhimu wa chanjo hizi kwani kampeni hii hufanyika mara baada ya miaka mitano lengo ni kuhakikisha kila mototo aliyezaliwa  asipatwe na ugonwa wa surua wala Polio.

“Taifa ambalo linaugua au kuandamwa na magonjwa haliwezi kuzalisha na miongoni mwa maadui aliowataja baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ni pamoja na adui maradhi hivyo tukiwakinga leo watoto wetu na magonjwa haya tutakuwa tumelihakikishia taifa letu kizazi chenye afya timamu ambao wapo tayari kufanya kazi kwa bidii iliwaweze kuletea maendeleo kwa taifa letu” Alisema Mhe.Daqarro

 Akitoa takwimu ya chanjo ya Wilaya ya Arusha mganga mkuu wa Jiji la Arusha daktari Simon Chacha alieleza kuwa hali ya utoaji chanjo ya Surua Rubella kwa mwaka 2018/2019 ni kwa asilimia 147 zaidi ya lengo la kitaifa asilimia 95 na kwa upande wa chanjo ya ugonjwa wa polio ya sindano (IPV)  ikiwa ni asilimia 97 zaidi ya lengo la kitaifa asilimia 95. Hii ni kwa sababu Jiji la Arusha limetoa huduma ya chanjo nje ya wakazi wake kwani watu kutoka wilaya nyingine wamepatiwa huduma hiyo pia.

Mhe. Daqarro ameipongeza Serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi wa Mhe. Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  kwa kuimarisha huduma za afya kuanzia miundombinu kwa kuleta vituo vya afya na zahanati karibu na wananchi,upatikanaji wa dawa za muhimu nao umefanikiwa kwa kiwango cha asilimia 98 pamoja na kuimarishwa kwa maslahi ya watumishi .

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa