• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

UZINDUZI WA KAMPENI YA MABADILIKO YA TABIA NCHI KWENYE NYANJA YA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: January 28th, 2020

Katibu tawala wa wilaya ya Arusha Ndg. David Mwakaposa leo Tarehe 28/01/2020 amezindua kampeni ya mabadiliko ya tabia Nchi kwenye nyanja za usafi wa mazingira. Uzinduzi huo ulidhuriwa na naibu meya Mhe. Paul Matthyesen na Kaimu Mkurugenzi wa Halimashauri ya Jiji la Arusha Ndg. Sifael Kulanga pamoja na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali ikiwemo (SNV)  Smart Development  Workers ambao ndio wadau wakuuu katika uzinduzi huo uliofanyika Jijini  Arusha katika kituo cha afya cha Ngarenaro.

Mhe. mwakiposa akiwa mgeni wa heshima katika uzinduzi huo  alisisistiza  kwa kusema lengo  kuu la kampeni hii ni kutoa elimu  kuhusu  usafi wa  vyoo vyetu na kuhifadhi mazingira kwa ujumla, njia sahihi ya kutoa  maji taka na kujenga vituo vya kuwekea taka

Mwakiposa aliendelea kusema mazingira yetu ili yawe salama kuwepo na ushirikiano baina ya afisa afya na mazingira  kwa kuwezesha kuvuta maji taka kwenye vyoo kwa njia salama  kwa kutumia vifaa kama vile glavu na mabuti kwenye vyoo vilivyo jaa ili kuepusha mlipuko wa magonjwa kama vile kipindupindu .

Pia alipongeza (smart develompent workers) kwa mchango wao mkubwa kwa kutoa elimu ya utunzaji mazingira kwa jamii na usambazaji wa vifaa vya usafi.

Aliongezea kwa kusema kwenye kampeni hii ya leo ya mabadiliko ya tabia ya Nchi kwenye nyanja ya usafi wa mazingira , Halimashauri  ya Jiji la Arusha itatoa ushirikiano wake bega kwa bega  kwa kuchimba vyoo shuleni na kuweka sehemu maalumu ya kuwekea taulo za kike na taka zinazozagaa hovyo.

 wakati huo shirika la (SNV) linalojishughulisha na kusambaza vifaa kinga vya usafi katika jamii ndani ya Jiji na nje, kuwasaidia walemavu, wanawake wasiojiweza na wajane wanaoishi katika mazingira duni, taasisi hiyo imeshukuru serikali kupitia Halimashauri ya Jiji la Arusha kwa kuunga mkono kampeni hiyo. Nakujitolea kutoa elimu ipasavyo jamii juu ya mabadiliko ya mazingira na kusambaza vifaa popote katika jamii.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa