• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Waandishi wa Habari wapatiwa Elimu ya Ugonjwa wa Malaria

Posted on: April 19th, 2021

Waandishi wa Habari wapatiwa Elimu ya Ugonjwa wa Malaria

Na Mwandishi wetu

Waandishi wa Habari watakiwa kuandika habari sahihi za Malaria lengo ikiwa ni kuendelea kuelimisha Jamii kuhusu ugonjwa huo na hatimaye kutokomeza ugonjwa na kufikia hatua ya Zero Malaria.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Vones Oiso akizungumza na Waandishi habari katika mafunzo ya kuwajengea Uwezo wa kuandika habari za Malaria  alisema aliwataka Waandishi kutambua wanajukumu la kuelimisha Jamii jinsi ya kujikinga na malaria hatimaye kuendelea kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. 

Aliwataka kuwa mabalozi wakuelimisha Umma kuhusu Malaria hususani wiki hii ya kuelekea kilele cha Maadhimisho hayo yatakayofanyika Jijini Arusha tarehe 25 Aprili 2020. 

Kwa upande wao wawezeshaji katika mafunzo hayo kwa Waandishi wa habari wakitoa mada kwa nyakati tofauti walisema kuwa lengo la wataalam wa Afya ni kuona Malaria imekoma kabisa kwa kuwa ni ugonjwa hatari usipochukuliwa tahadhari. 

Kimsingi walisema kuwa elimu kwa Jamii haina budi kutolewa kwa kutumia mbinu mbali mbali ikiwa ni pamoja na vyombo vya habari kupitia vipindi Maalum vya kuelimisha Umma kuhusu madhara ya Malaria. 

Mkuu wa Kitengo cha udhibiti wa wadudu wanaoneza magonjwa kutoka Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii na Watoto Charles Dismas Mwalimu akitoa mada ya udhibiti wa Mbu waenezao malaria kwa njia ya Utangano alisema kuwa Malaria inaweza kudhibitiwa na jukumu hilo ni la kila mtu .

Bw. Dismas alisema kuwa mazingira wanayoishi watu yanapaswa kuwa safi wakati wote na kwamba Waandishi wa Habari na  wadau wa Afya wakiwemo wataalam wa Afya wanajukumu la kuelimisha Jamii kuhusu umuhimu wa kutunza na kulinda mazingira.

Mafunzo hayo  kwa waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali ni maandalizi ya wiki ya kuelekea maadhimisho ya Malaria yatakayofanyika Jijini Arusha katika Uwanja wa Michezo Ngarenaro uliopo Halmashauri ya Jiji la Arusha.


Pichani : waandishi wa Habari kutoka vyombo mbali mbali vya Habari wakiwa katika mafunzo ya namna ya kukabiliana na Malaria ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya wiki ya Malaria yatakayofanyika tarehe 25 April, 2021




Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa