• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wafanyabishara rasimisheni biashara zenu-Waziri Jenister

Posted on: October 11th, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenister Mhagama amewataka wafanyabiashara wa Jiji la Arusha kutumia vyema kituo jumuishi cha Urasimishaji na uendelezaji wa biashara  ili waweze kuongeza thamani katika biashara zao kupitia uwezeshaji na mafunzo yatakayotolewa na kituo hicho.

Waziri Mhagama ameyasema hayo  Oktoba 10,2022 wakati akizindua kituo hicho akisema ifike mahali wafanyabiashara wote wawe katika mfumo wa urasimishaji ili waweze  kukua kibiashara  huku akiwasisitiza watendaji kuweka mpango wa kuwarasimishia wanyonge biashara zao.

Aidha Mhe. Mhagama Ameitaka MKURABITA (Mpango wa Kurasimisha Biashara za Wanyonge Tanzania) kuongeza jitihada za kuwaelimisha wafanyabiashara faida ya kurasimisha biashara pamoja na namna bora ya uendelezaji wa biashara.

Awali Waziri Mhagama alizipongeza ofisi za Mkuu wa Wilaya pamoja na Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kujenga kituo hicho kitakachosaidia uchumi wa wafanyabishara pamoja na Taifa. 

Akisoma taarifa ya Kituo Jumuishi  cha Urasimishaji na uendelezaji wa biashara  Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Hargeney Chitukuro amesema kituo hicho kilianzishwa kwa ajili ya kusaidia na kuwarasimishia wafanyabiashara  kupata huduma zote za ushauri wa kibiashara pamoja na kupunguza urasimu katika utoaji wa huduma.

Bw. Chitukuro Alisema kuwa kuanzishwa kwa kituo hicho kimeongeza ufanisi wa mapato kwa Upande Wa leseni za biashara kwa kiasi kikubwa. 

"kabla kuanzishwa kituo hiki Jiji liliweza kukusanya shilingi bilioni 1.45, baada ya kituo hiki kuanza kutoa leseni za biashara Jiji limeweza kukusanya shilingi bilioni 1.65". Alisema Chitukuro. 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa