• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Wafugaji hakikisheni mifugo yenu inawekwa hereni za kielektroniki - DC Mtanda

Posted on: October 13th, 2022

MKUU wa Wilaya ya Arusha Mhe. Said Mtanda ameagiza wafugaji wote wa mifugo wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, kuhakikisha mifugo yao, wanaweka alama za hereni za kielekroniki, ili iwasaidie kuitambua kirahisi pale inapopotea na kuisaidia Serikali kujua takwimu halisi za mifugo nchini. 

Akitoa agizo hilo Oktoba 12,2022 Jijini Arusha wakati wa uzinduzi wa uwekaji wa hereni hizo za  kielekroniki, Mhe. Mtanda alisema hilo ni agizo la serikali ili kuitambua mifugo na mazao yake kwa njia hiyo.


Alisema lengo kubwa la Serikali kuagiza utambuzi huo, ili mifugo inapopotea ukiingia kwenye kompyuta ijulikane ilipo na kumsaidia mfugaji kupata mifugo yake kirahisi.

"Jitokezeni kuweka hereni mifugo yenu na gharama zake ndogo kwa sababu mifugo mikubwa imegharimu Sh.1750 kwa mmoja na kidogo Sh.1000"alisema.

Pia alimuagiza Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Hargeney Chitukuro  na Idara ya mifugo na kilimo, kuhakikisha mifugo yote ya Jijini humo inawekewa hereni hizo.

Alisema mifugo iliyopo kwa Jiji hilo ni 16,262 ambapo katika uzinduzi huo 7000 kati ya hiyo imewekwa heleni.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Bw. Hargeney alisema  katika uzinduzi huo wa utambuzi wa mifugo  ng'ombe 5000 na mbuzi na kondoo 2000 wamewekewa hereni.

Alisema wafugaji watanufaika na uwekaji huo wa hereni  sababu zina alama za kipekee na pale mfugaji atakapoibiwa mfugo wake, itaonekana kwenye mtandao ulipo.

"Wafugaji wote wa Jiji hili nawaomba mhakikishe mnaleta mifugo yenu kuwekwa alama hii ya kielekroniki ili iwaepushe na wizi na kuisaidia serikali kuitambua mifugo iliyopo kwa njia hii,"alisisitiza.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi, Dkt. Onesmo Mandike alisema Jiji hilo lina mifugo 16,262  kati ya hao ng'ombe 10,898,Punda 1,201 na mbuzi na kondoo  4163  ambao kati yao ng'ombe 5000 na mbuzi na kondoo 2000 imewekewa hereni.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa