• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA WAPATIWA MAFUNZO YA VISHKWAMBI

Posted on: December 18th, 2020

Wakuu wa Idara Halmashauri ya Jiji la Arusha wapatiwa mafunzo ya Vishikwambi

Na Mwandishi wetu .

Wakuu wa idara na vitengo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo ya teknolojia ya mtandao wa   jinsi ya kutumia kifaa aina ya Kishikwambi kwa ajili ya  kuandikia ,kutumia  na kuwekea kumbukumbu  za vikao mbali mbali ikiwa ni hatua ya kupunguza gharama zisizo  za lazima za kutumia shajala .

Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Arusha na yametolewa na wawezeshaji kutoka kitengo cha TEHAMA halmashauri ya Jiji la Arusha.

Afisa Utumishi  wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Msena Bina  akizungumza na watumishi hao wakati wa mafunzo aliwataka kutumia ujuzi waliopata kuandaa na kutunza kumbukumbu ipasavyo ili kuwezesha walengwa kupata taarifa kwa wakati .

Pamoja na mambo mengine aliwataka kulinda maadili kwa kutumia vishikwambi hivyo kwa uaminifu na kuepuka kulikisha taarifa kinyume na taratibu kwamba teknolojia hiyo imelenga kurahishia wataalam na wakuu wa idara kazi  ya  kupata taarifa ,kutuma na kutunza taarifa .

Alisema kuwa Vishikwambi hivyo pia vitatumiwa na waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha lengo ikiwa ni kupunguza gharama za kuchapisha taarifa za mikutano ambazo zinatumia gharama kubwa .

Kwa upande wao wawezeshaji wa mafunzo hayo kutoka kitengo cha  TEHAMA ambao ni Geofrey Matinya na Innocent Kitauka walihimiza matumizi sahihi ya Vishikwambi na kutoa tahadhari ya  kwamba vishkwambi hivyo visipo tumika ipasavyo vianweza leta madhara kwa watumiaji.

‘’Kumbuka kuwa vishikwambi hivi havitakiwi kuwekwa kwenye mifuko ya suruali ,na pia havitakiwi kuingia navyo  jikoni ,kwa kuwa ni hatari na vinatumia umeme’’ walisema kwa nyakati tofauti

Walisema kuwa vishikwambi hivyo vikitumiwa kwa makusudi yaliyopangwa ni rahisi katika mawasiliano ,kutoa taarifa na kutunza kumbukumbu .

Teknolojia mpya ya vishikwambi katika Halmashauri ya Jiji la Arusha itarahisisha  utendaji kazi kwa wakuu wa idara na kupeana taarifa za kwa wakati ikiwa ni pamoja kuwapatia madiwani taarifa kwa wakati

………………………………………………………………………………………………………………………

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa