• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

Posted on: August 20th, 2024

Wanawake Jijini Arusha kujengewa uwezo wa kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika jamii zao na nchi kwa ujumla.

Kupitia mradi wa " kuongeza ushiriki wanawake kwenye nafasi za uongozi", Shirika la WiLDAF Tanzania limepanga kuhakikisha wanawake na Wasichana wanajiamini katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

Akizungumza katika kikao cha kuutambulisha mradi huo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bi. Fatma Amiri ambae ni Afisa Maendeleo ya jamii Halmashauri ya Jiji la Arusha, amesema Jiji la Arusha lipo tayari kushirikiana na wadau hao kwa kuhakikisha wanawake wa Jiji la Arusha wananufaika na mradi huo.

Bi. Fatma amesema, miradi mingi inayoletwa katika Jiji la Arusha imekuwa na manufa sana na mafanikio makubwa hivyo anaamini hata mradi huo mpya utafanikiwa pia.

Akizungumza katika kikao hicho, Mkurugenzi wa WiLDAF Tanzania Bi. Anna Kulaya amesema shirika hilo limejikita zaidi katika katika kuwaboresha wanawake na Wasichana katika nyanja zote.

Nae, mratibu wa Sheria kwa wanawake kutoka shirika la WiLDAF Steven Shishira amesema, mradi wa kuongeza ushiriki wa wanawake kwenye uongozi kwa Jiji la Arusha utafanyika katika Kata 5 zakuanzia kisha utaendelea kwenye Kata nyingine.

Amesema kinachofanyika katika mradi huo nikubadili mitazamo hasi iliyopo katika jamii kuhusu wanawake kushika nafasi za uongozi lakini pia na wanawake wenyewe kujiamini kuwa wanaweza.

Steve amesema, kupitia mradi huo wanawake watajengewa ari yakuona wanahaki ya kushika nafasi mbalimbali za uongozi na hata wanaume kuwaruhusi wagombe nafasi hizo.

Mradi huu utasaidia kuongeza ufanisi katika utendaji wa kazi katika jamii kwani ni nguvu za jinsia mbili zitaweza kufanya kazi kwa pamoja na hivyo kuleta maendeleo katika jamii husika na nchi kwa ujumla.

Mradi wa kuongeza ushiriki wa wanawake kwenye fursa mbalimbali za uongozi utafanyika kwa Miaka 3 na maeneo yatayofaidika na mradi huo katika Mkoa wa Arusha  ni Halmashauri ya Jiji la Arusha na Halmashauri ya Meru.


Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa