• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Arusha City Council
Arusha City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Fedha na biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Primary Education
      • Elimu Sekondari
      • Usafishaji na Mazingira
      • Works and Infrastucture
      • Water
      • Mipango, Uchumi na takwimu
      • Mipango miji
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Tekinolojia ya habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Internal Audit
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa nyuki
    • Kata
      • Baraa
      • Daraja II
      • Elerai
      • Engutoto
      • Kaloleni
      • Kati
      • Kimandolu
      • Lemara
      • Levolosi
      • Moivaro
      • Moshono
      • Murriet
      • Ngarenaro
      • Olasiti
      • Olmoti
      • Oloirien
      • Osunyai
      • Sakina
      • Sekei
      • Sinon
      • Sokon I
      • Sombetini
      • Terrat
      • Themi
      • Unga Ltd
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Usafi wa Mazingira
    • Elimu
    • Biashara
    • Maendeleo ya Jamii
    • Leseni
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe.Wabunge na Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maadili
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao
      • Ratiba ya kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • STUDY ONLINE
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa umma

Watoto 104,986 wapatiwa dawa za kinga tiba ya Kichocho na Minyoo Jijini Arusha

Posted on: May 4th, 2019

Jumla ya watoto 104,986 wenye umri wa  miaka 5 hadi 14 wa halmashauri ya jiji la  Arusha, wamepatiwa  dawa za kinga tiba ya ugonjwa wa Kichocho na minyoo ya tumbo. magonjwa yanayofahamika kama magonjwa yasiyopewa  kipaumbele 'Neglected Tropical Disease (NTD'.

Zoezi la ugawaji wa dawa hizo lilianza tarehe 2-3/05/2019 katika vituo 154  vilivyoko kwenye shule za msingi za serikali na za binafsi.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo  Mganga Mkuu wa  halmashauri ya jiji la Arusha, Dkt. Simon chacha  amesema kuwa zoezi hilo la kitaifa lilianza na kumalizika salama katika vituo vyote vya kutolea huduma na changamoto ndogondogo zilizojitokeza wakati wa zoezi la utoaji dawa ni baadhi ya wazazi kutotoa ushirikiano wakutosha kwa walimu huku wengi wao kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu kingatiba  licha ya kuwa elimu imekuwa ikitolewa mara kwa mara na uongozi wa Halmashauri.

Naye Mratibu wa Kinga Tiba jiji la Bi. Monica Ngonyani, Arusha ameeleza  kuwa kutokana na ongezeko la tatizo la magonjwa ya kichocho na minyoo kwa watoto ambayo husababisha upungufu wa damu, utumbo kutoboka na hata kifo,  Serikali imeamua kutoa huduma hiyo ya  kinga tiba bure nchi nzima.

Ameendelea kwa kusema kua ugonjwa wa kichocho ni tatizo kubwa kwa watoto na usipopata tiba kwa haraka  husabisha madhara na wakati mwingine vifo, hivyo ni vema wazazi kuchukua tahadhari kwa kuwapa watoto dawa hizo pindi serikali inapoendesha zoezi la kuwapatia watoto dawa za kinga tiba.

Aidha amewataka wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao, wanapata kinga tiba hizo muhimu na  kuwaondoa hofu wale wanaodhani dawa hizo zina madhara kwa watoto.

*Pichani:  Moja ya wanafunzi wa  shule ya Msingi Upendo friends iliyopo kata ya Olmoti Jijini Arusha akimeza dawa wakati wa zoezi la kutoa kinga tiba hizo*

 

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI KWA WATUMISHI WA SERIKALI January 16, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO KADA YA MTENDAJI WA MTAA NA KADA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU October 06, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO October 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • JIJI LA ARUSHA LAZINDUA MITAMBO MIPYA

    January 28, 2025
  • MKURUGENZI KAYOMBO AKABIDHIWA OFISI

    August 21, 2024
  • WANAWAKE NA WASICHANA KUJENGEWA UWEZO WA KISHIRIKI NAFASI ZA UONGOZI

    August 20, 2024
  • NENDENI MKAONGEZE UFANISI

    August 19, 2024
  • Tazama zote

Video

JIUNGE NA MFUMO WA TAUSI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MIRADI ILIYOKAMILIKA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA WATEJA
  • SISI NI NANI
  • Urban Sanitation and Hygiene | Mazingira safi Maisha bora

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Tovuti ya ajira
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Location Map

Wasiliana nasi

    20 Boma Street 23101

    Sanduku la Posta: 3013

    Simu: 0272548072

    Simu ya Mkononi: 0272545768

    Barua Pepe: cd@arushacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2018 Halmashauri ya Jiji la Arusha .Haki zote Zimehifadhiwa